Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 15,797
- 28,454
Hatupendi rais masikini-by Jk
sasa Lofa nani kati ya anae lea watoto wa mwanaume mwenzake na wanaotaka ukombozi wa pili wa mTz?
Atakoma huyu Mkapa we subiri tu!
Pia neno MAFALA ruksa!so CCM mafala hata kikwete analijua hilo ndo maana kawaambia hayo!Kweli ccm ni wapumbavu kabisa.
Eti JK anasema zile picture za mafuriko ya Lowasa ni photo shop
NB: Msichukie tukitumia neno "Mpumbavu" maana tumefundishwa leo na Mkapa.
Chama cha kimalaya chama cha wasaniiiii ccm
Khaa!! Hii si kwa maGT. MaGT watakusikiliza kisha watakutafakari. Nyumbu wao hufuata tu bila kujali mto una mamba au la :mvutaji:Hujielewi, ukiona watu hawajikukusikiliza ujuwe wanajua huna jambo jipywa la kuwaeleza in other way around labda wanakudharau.
Haaaaaaaaaaaahaaaaaaaaaa mkuu wewe ni mpumbavuuuuuuuuuuuh sanaUpumbavu siyo tusi kamanda labda lofa ndiyo sijui maana yake.
Tanzania imeishakombolewa na TANU.