Wewe acha kujifanya unanifahamu.hii ni internet,siyo interphysical.Wewe mimi nina mme wangu tena wa ndoa takatifu ya mme na mke mmoja.Hapo upo?Wewe una rekodi ya kuiba mume wa mtu halafu ukaachwa solemba mpaka ukalazwa!!!!!! Una any moral authority kuzungumzia mambo haya???
Wewe acha kujifanya unanifahamu.hii ni internet,siyo interphysical.Wewe mimi nina mme wangu tena wa ndoa takatifu ya mme na mke mmoja.Hapo upo?
Stay focused my friend
Safi sana Kiongozi.
Huyo ni Mwanamke wa Shoka, hana maigizo ya kupika chapati kama Regina.