STDVII
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 1,617
- 669
Kumbe na yeye anakidevu kama cha magufuli.
acha kutaja maumbile ya watu umemuona vizuri miguu fimbo mtu wenu, acha kupayuka kijana.
Kumbe na yeye anakidevu kama cha magufuli.
Cku ya uzinduzi wakati anatambulishwa hapo kama sijakosea
Amefanya kampeni Chato tu!!
Kampeni zinaendelea kila kona ya Tanzania. Mama yetu ambaye ni next first lady akihutubia umati wa watu ambao wote walisema kuwa, KURA ZAO watampa Dr. John Pombe Joseph Magufu.
Na Mr. Chin
Kumbe na yeye anakidevu kama cha magufuli.
Mama Magufuli akifanya kampeni wapi? Mbona hamtaji mahali ili muumbuke?
[h=3][/h]
Kampeni zinaendelea kila kona ya Tanzania. Mama yetu ambaye ni next first lady akihutubia umati wa watu ambao wote walisema kuwa, KURA ZAO watampa Dr. John Pombe Joseph Magufu.
Na Mr. Chin
mod, acheni upendeleo hiki kulichosemwa ni sawa lakini miguu fimbo siyo sawa eti?
Hyo ilikuwa chato na ni baada ya kubembelezwa sana na hajatokea kwingine kokote. Acha uongo wewe
[h=3][/h]
Kampeni zinaendelea kila kona ya Tanzania. Mama yetu ambaye ni next first lady akihutubia umati wa watu ambao wote walisema kuwa, KURA ZAO watampa Dr. John Pombe Joseph Magufu.
Na Mr. Chin
[h=3][/h]
Kampeni zinaendelea kila kona ya Tanzania. Mama yetu ambaye ni next first lady akihutubia umati wa watu ambao wote walisema kuwa, KURA ZAO watampa Dr. John Pombe Joseph Magufu.
Na Mr. Chin
Ni vizuri sana na ni haki yake amsaidie mumewe kama mama regina anavyofanya. Aweke tofauti zao pembeni kama zipo. Afahamu magofuli akivuka ni masilahi ya familia yao wote.