fered mbataa
JF-Expert Member
- Feb 19, 2012
- 240
- 35
ujinga mtupu kwa CCM
wanashindwa kushughulikia matatizo ya wananchi watumia pesa nyingi kuhadaa wananchi
hao waliohudhuria walikuwa na matarijio ya kupewa chakula na nauli.
nashangaa tu anaejiita mwanaCCM bila kujaua wanaowahutubia na kuwahadaa
ndio hao haowanaouza rasilimali zetu kwa wageni huku wakilimiliki majengo na mgarari ya kifahari.
amkeni watanzania mtajikuta mnuzwa ninyi na watoto wenu.
Wauzwe mara ngapi?