magufuli alielezea kwa kina sana juu ya sekta ya ujenzi akieleza kwa kina kwamba kwa sasa kuna kilometa 9000 za barabara za lami nchi nzima kwa maana ukitoka mtwara hadi mwanza kupitia dar,uende arusha kilimanjaro hadi tanga ni mwendo wa tax tu,hata kwa bajaji unaenda utakako bila kikwazo.