Yaliyojiri Mkutano wa CCM Viwanja vya Jangwani (Dar) Juni 9,2012

Tusubiri mkuu kina Wasira wanaweza kutoa sera nzuri leo za maendeleo ya Mtanzania.

Ukistaajabu ya mussa utaona ya firauni yaaan from no where Wassira ndo amekuwa mtaalam wa uchumi agenda yake leo ilikuwa kuelezea hali ya uchumi kwa ujumla hope kila mtu amemsikia halivyokata nyanga!soon tutaanza kuona uchumi unaopaaa!
 
RItz hata aambiwe nini yeye hakubali CCM ndio wametufikisha tulipo
naona atakuwa na hisa CCM ndio wanaompa ulaji
jiangalie kama mali ulizo nazo umezipata kihalali?
kama sio laana ya watanzania iko juu yako.
mko madarakani kwa sababu ya rushwa
J Sister`s Rushwa - YouTube
 
Kama nilivyowaambia kabla ya mkutano huu, kuwa huu ni mwanzo. CCM watakenda wilaya zote za Tanzania nzima, kuanzia za Dar kuelekea kusini kwenda kuzima uongo unaoenezwa na chadema. Eti wanawaambia watu "wachukieni CCM". mijitu mingine bwana haina hata maana.

Watanzania hawahitaji kuambiwa wanajionea wenyewe joto ya jiwe wanayopigwa na CCM, sasa leo mmemaliza mkutano watu wanarudi "Kibera" kuendelea kupigika...mtatujua kuwa sio mazuzu 2015.
 
Jangwani1magamba.jpg
pasua.jpg
magamba yakijiachia jangwani
 
Ccm imeishaujua ujinga wa watanzania na ndio maana inawatongoza na inapowapata inawatumia ipasavyo.

Inawatongoza watanzania mithili ya mvulana anayemtafuta msichana!!! Inawarubuni kwa vitisheti vya njano na vikofia vya kijani; Inawapa lifti; inawalisha wali kuku; inawatumbuiza kwa taarabu; inawaahidi maisha bora na kisha inawahonga elfu tatu!! Kwa ulaini wananchi wanakubali kufanya mapenzi na ccm. Wanapewa mimba. Wanazaa ufukara na kisha ccm inawatelekeza kwa maisha duni!

Nionavyo mimi:
Watanzania wakiteseka na mazingaombwe ya ugumu wa maisha ni sawa tu!! Ni haki yao!! Waendelee tu kutaabika kwa kuwa dhiki, mahangaiko na ufukara wanavitaka wenyewe!!
 
Mimi kauli hii imenifurahisha zaidi ingawa mod ameitoa thread yangu but Magufuli kamaliza kazi ya GAMBA " ANAYETAKA KURUDISHA MAKADI YA CCM ..........." Nikaamini CCJ imeshika hatamu. hongera CCJ.
 
Hivi wabongo mna matatizo gani? Mnasubiri Yesu au Mohammad aje awatangazie ukombozi? Pale Jangwani palikuwa na watu 3000 kweli? Mbona mnapenda kudanganywa?

Kwa kweli nimefuatilia vizuri. Wote walikaa kwenye viti, kulikuwepo nafasi tele za kupita na walionekana machinga wengi wako pita kuuza maji, mihogo, ice cream. Haiwezekani walikuwa zaidi ya 1,500!

Nilimsikitikia sana Prof Jumanne, alitoa ahadi za uwinguni, za kikukusaidika; na alirudia mara nyingi kauli CCM Oyee, na hata watoto waliukuwa mstari wa mbele hawakuitikia wala kwa kunyoosha mkono! Aibu Tupu!


Msanii Magufuli alionyesha umahiri wake aw kukariri majina ya barabara, urefu wake, majina ya wakandarasi, mipango kibao inayotarajiwa, na hata hesabu za Kila Mradi bila kutokuangalia popote! Alikuwa kivutio na hasa ile mikogo yake ya kujitikisa na kucheza! Lakini hakuna jipya, alisema Yale Yale! Mwakyembe aliendeleza sera sake za hivi karibuni, za kuongoza wizara kupitia majukwani! Amewaonya Bandari, wajiandae kwani atawshukia huko siku ya karibuni!

Nape amenitukana, Wasira amenikasirisha, Tibaijuka kajiaibisha hajui Kigamboni City ilibuniwa mapema zaidi ya Tatu city ya Nairobi ambavyo tayari imeshaanza, yeye bado kibongobongo, Kinana amedhihirisha unafiki na uzandiki wake- sio mwenzetu Yule! Nimechukia, nimewadharau CCM, hasa Yule mdada aliyetangaza eti CDM inataka kuandaa nchi ya Kaskazini
 
RItz hata aambiwe nini yeye hakubali CCM ndio wametufikisha tulipo
naona atakuwa na hisa CCM ndio wanaompa ulaji
jiangalie kama mali ulizo nazo umezipata kihalali?
kama sio laana ya watanzania iko juu yako.
mko madarakani kwa sababu ya rushwa
J Sister`s Rushwa - YouTube
Huwa anakubali lakini siyo direct...akiwa amevaa koti la udini yeye pamoja na wenzake wanatumia maneno kama hayo chini tofauti na akiwa amevaa koti la chama.

Hilo neno "elimu" limetokea hukohuko.

Nyie wasomi wetu mlio hodhi madaraka na uongozi kwa asilimia 83 kwa zetu 17 katika nyanja zote kwa miaka yote hii mmefanya nini?

Nakuhakikishia hao 17 ni bora zaidi ki elimu kwani hawaja-bebwa na mtu. Kama unabisha tazama utendaji mbovu na madudu yanatokea wapi utakuta ni hukohuko kwenye 83.
 
Acha upotoshaji wakati mwingine si lazima sana kuchambua mambo ya CCM, ambayo ni dhahiri yapo nje ya uwezo wako, ukweli ni kwamba umeupindisha ukweli na umepotosha kwa kiasi kikubwa yale yaliyozungumza kwenye Mkutano wa leo.

kama huna matatizo ya macho utakuwa na matatizo yafuatayo

.kutosikia vizuri.
.uwezo mdogo wa kufikiri
. Kutokuelewa kilicho ongelewa chadema square na magamba
. Kupoteza kumbukumbu.

Nakushauri umuone daktari
 
Pamoja na kukodi watu na magari kujaza CDM Square bado wameshindwa. Hii ni ishara tosha kwamba ccm inatoweka ktk ramani ya vyama Tanzania,
 
Kwisha kazi magamba

Kabisa! Hakuna kiongozi hata mmoja aliyekuwepo pale Jangwani aliyeonekana amejiandaa kwa mkutano ule! Hata zile Hoya za msingi Kama rushwa hazikuguswa. Mama Tiba hakupenda kuzungumzia fujo na mauaji ya wakulima na wafugaji nchini wakigombea Ardhi, na nini kinafanywa na wizara yake kudhibiti Hali hii; wala hakuona umuhimu wa kufafanua ugomvi Kati ya TANAPA na waNanchi wanaoishi karibu na maeneo ya hifadhi wanaolalamikia kuingiliwa na hifadhi, kufukuzwa maeneo Yao, wala kero za wawekezaji wakubwa wanaochukua maeneo makubwa ya Ardhi na kuwaacha waNanchi bila sehemu ya kujipatia Riziki! Aibu!
 
Back
Top Bottom