Nisahihishe kidogo: 1500x26,000 = 39,000,000thamani ya kila kadi ya chadema ni 1500 x 26,000 =3,900,000...vipi mmewalipa hizo pesa waliochaniwa kadi...
Tusubiri mkuu kina Wasira wanaweza kutoa sera nzuri leo za maendeleo ya Mtanzania.
You are right mkuu! Ila sis tulio nje na pembeni ya majukwaa twaweza kuwa ndo tunaoona hili kwa macho mawili, wakati mwenyewe na strategists CCm hawalioni. Si sawa wa pembeni kuendeleza haya, ingawa ni sawa kwa manazi wa CMD na CCM kutupiana haya!!