Yaliyojiri Mkutano wa CCM na waandishi wa habari Peacock Hotel

Kulikuwa na tangazo ambalo lilienea sana mitandaoni kuanzia July 28 2015 ikiwa na taarifa kwamba CCM watafanya Kikao chao Makao Makuu Madogo July 29 2015 Lumumba Dar.

CCM Dar

Katibu Mwenezi wa CCM Dar, Juma Simba Gaddafi ndio Kiongozi pekee wa CCM aliyefika kwenye Mkutano huo ambao umefanyika Peacock Hotel Dar, na hii ni sehemu ya alichokisema.

‘CCM inatoa shukrani kwa ushirikiano mlioutoa katika Mkutano wetu Mkuu wa Kumtambulisha Mgombea Urais Dk. Magufuli pale Mbagala, CCM ni Chama chenye busara tumeona tuwashukuru‘>>>

Kwenye sentensi nyingine amesema hivi >>> ‘Tume ya Uchaguzi tunawaomba wawe makini kuongeza Mashine na Watendaji ili watu wapate nafasi kujiandikisha na watumie fursa yao Kupiga Kura… CCM tuna uhakika tutashinda‘>>>

3X6A0023
Juma Simba Gaddafi, Katibu Mwenezi na Itikadi CCM Dar.

‘Kingine tunawashukuru waliojitokeza Kugombea nafasi mbalimbali za Ubunge na wajitokeze kwa wingi pia kupiga kura… Tumemaliza Uchaguzi Dodoma na kumpata Mgombea wetu Dk. Magufuli, tunajivunia kwa sababu ana rekodi nzuri… Tuna imani CCM itaendelea kuongoza 2015 mpaka 2020, tumefanya mengi yanayokubalika‘>>>

Hiki ndio alichokijibu kuhusu ishu ya Lowassa kuhamia CHADEMA >>> ‘Yeye aliingia CCM kwa ridhaa yake hakuna mtu alimlazimisha, ametoka kwa ridhaa yake na CCM itabaki kuwa CCM… Wafuasi walikuwa ndani ya CCM, kuondoka kwake ameondoka yeye na sio wa kwanza kuondoka‘>>>

3X6A0063

Haya ni majibu yake mengine kuhusu Lowassa kutoka CCM >>> ‘Mtu akitoka huwezi kujibu kwa nini ametoka, nawathibitishia mtu yoyote akitoka CCM itabaki imara… Tutashinda asubuhi kweupe… Kama Lowassa angekuwa anaondoka na watu wengi ungewaona jana, lakini alikwenda yeye akarudisha kadi… watu wengi wanatoka kwenye Chama na CCM bado iko imara‘ >>>> Juma Simba Gaddafi.

👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆😂😂😂😂😂😂
 
Kweli ccm imekufa.

Jamaa anaongea kama anagombana. Hana confidence, very defensive, actually yuko frustrated, utadhani kakurupushwa.

Mimi naona mkutano waliopanga kuufanya wameshauriana wasiufanye lakini kwa kufunika kombe wakamtuma huyu jamaa, akawapotezee waandishi.

Ninahisi kama wameona wasiongee walichotakakusema juu yakuondoka kwa lowasa kusudi wasiwape faida ukawa ili waje wawashtukize.

You are right Tabby.
Ndio maana wakahamishia Peacock hotel kusudi iwe rahisi kuwakimbia. Itakuwa Nape kapigwa stop.
 
Si unaona jinsi ulivyo juha?

Majibu tunayo sasa hivi, wewe subiri oktoba.

Mbowe kapiga pesa, nyinyi misukule mnawekewa gonjwa lile na nyinyi mpo tu.

Mnasikitisha sana kwa kushindwa kufikiri hata mambo madogo.
Bibi bomba naona CCM wamekuwekea mkatoliki,utamchagua kweli?
 
UTANI..
Nape aendelea kuwapa ushindi c.c.m kwa goli la mkono bafuni mwake(kujichua)
TEAM Lowassa+ukawa
 
Last edited by a moderator:

Attachments

  • 1438178932037.jpg
    1438178932037.jpg
    27.9 KB · Views: 126
Kesho saa 7 mchana CCM watazungumza na waandishi wa habari Lumumba. Ajenda kuu ni Lowassa kujiunga CHADEMA.
CLA85fCWsAICtzh.png

Chanzo: Taarifa ya CCM kwa wahariri.

========================

UPDATES;
attachment.php


2.Update:

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Bw. Juma Simba Gadafi amesema:

CLFesNlUkAEiI68.jpg:large

"Nawashukuru Waandishi wa habari kwa kuja, CCM tumewaita hapa, kuwashukuru kwa kushirikiana nasi katika Mikutano iliyokuwa ikiendelea Dodoma. Tunaomba Tume ya Uchaguzi iongeze Muda wa kujiandikisha na mashine za BVR, ili watu waweze kujiandikisha kwa wingi, ili ifikapo 25 OCt CCM iweze kushinda kwa Kishindo kwani Dar es Salaam ndio Ngome ya CCM".

- Pia, Gaddafi amesikitishwa na kitendo cha waandishi wa habari kumuuliza maswali kuhusiana na kujiengua kwa aliyekuwa Waziri Mkuu wa JMT, Edward Lowassa kutoka CCM na kuhamia CHADEMA na kusisitiza kwamba hayo ni maamuzi binafsi ya Mhe. Lowassa na hayana athari yoyote kwa CCM, kwani yeye sio wa kwanza kufanya hivyo, huku akitolea mfano kwa wakina Mhe. Agustino Lyatonga Mrema na Dr. Slaa ambao walishawahi kukitumikia chama hicho kabla ya kuhamia Upinzani.

Akifafanua kuhusu kutokuwepo kwa viongozi wakuu wa CCM katika Mkutano huo, Katibu Juma Simba ameeleza kuwa yeye ndiye Msemaji Mkuu wa CCM kwa Mkoa wa Dar es salaam, hivyo ni mtu sahihi kuwepo hapo na kudokeza kwamba viongozi wengine wako kwenye harakati nyingine za kichama huko mikoani.

Hii haikua Press Conference bali ni Press Confusion!
[video]https://video-fra3-1.xx.fbcdn.net/hvideo-xaf1/v/t42.1790-2/11818854_725097044284076_13178 65409_n.mp4?rl=693&vabr=385&oh =c3c261c3243ae9206ff56f7e2a3d4 951&oe=55B908F8[/video]

Haya huko kwingine wapigana marungu:
[video]https://video-fra3-1.xx.fbcdn.net/hvideo-xft1/v/t42.1790-2/11750181_924253270987267_12155 62915_n.mp4?rl=914&vabr=508&oh =ca6f0db2f56289039e63252c7de9d acd&oe=55B8E197[/video]
 
people only need to change the party, why can't they think of who is going to leader their beloved country
 
Kama umemsikiliza vizuri sana Leo Juma Ghadaff pale pick cock, nikujaribu kupunguza nguvu za EL kesho kwenye MAGAZETI
 
Back
Top Bottom