Yaliyojiri Mkutano wa CCM na waandishi wa habari Peacock Hotel

Attachments

  • 1438174268648.jpg
    1438174268648.jpg
    10.9 KB · Views: 101
Inabidi jamaa nayeye tumwalike ajiunge na kundi kubwa la Safari ya matumaini maana hata yeye inaelekea ameichoka CCM ndomaana kathubutu hata kutimua mbio........ huenda anakwenda kuchukua kadi ya CDM

Duu! We mkali.
 
CCM ni wajanja wewe. Ni wataalamu wa propaganda. Kwani Lowassa siyo issue kabisa hata kidogo ndiyo maana akaenda kuongea mtu mdogooo! Wamenifurahisha sana. Ila watapata kura yangu ya urais tu.
 
Ki ukweli ukawa imefirisika kabisa.yaani mtu mmoja akihamia ukawa ndio imewafufua toka kwa wafu.ndani yaw ukawa kwenyewe hawakuwa na mtu au maono.CCM SONGENI MBELE.UMMA TUPO PAMOJA
 
My take CCM kuondoka kwa Lowasa haina uzito ndo maana wamemtuma mwakilishi tuu....ccm maji marefu kijana,,,dont try if not fit to cross......
Ule mkutano wa CCM uliotangazwa kwa mbwembwe zote, ukitarajiwa kujibu mapigo ya Edward Lowassa aliyehamia Chadema, umegeuka kuwa kituko baada ya CCM kumtuma katibu mwenezi mkoa wa Dar, Juma Gadafi Simba kuzungumza.

Awali waandishi wa habari waliokuwa wamejikoki vilivyo katika hotel ya Peacock hawakuamini macho na masikio yao kumwona kada huyo wakidhani Nape ndio anakuja kuzungumza.

Mmkutano huo ulikuwa unarushwa live na Azam TV ambao hawakuamini kinachoendelea kwani kada huyo aliishia kiwashukuru tu waandishi kwa kupokea Dr. John Magufuli na kujigamba kuwa atashinda kwa kishindo.

Baada ya mazungumzo yake mafupi, waandishi walimuuliza maswali mengi hadi akachanganyikiwa na kukataa kuyajibu. Waandishi walimfuata hadi nje ya ukumbi na akakimbilia kwenye lift na kuondoka.

Katika mkutano huo alikuwepo msaidizi wa Nape, Chongolo na mpigapicha wa CCM, Bashiri Nkoromo, waliomtaka Gadafi kusitisha mkutano.

My take: CCM wamechanganyikiwa na kuondoka kwa Lowassa
 
Yani huku mtaani kila kitu ni lowassa,huu upepo ulivyobadilika ghafla hata White House wanapata updates kila mara
 
Nasikia CCM watafanya press conference nyingine ambapo msemaji mkuu atakuwa Jumanne Mjusi wa Arusha!

Wahuni wamefika mahali hawawezi kujificha wala kuficha uhuni wao. Ni vile mambo ya njaa na upungufu wa weledi kwa waandishi na media zetu lakini walitakiwa wasusiwe kwenye mikutano na kampeni zao kuelekea Oktoba 2015
 
Ule mkutano wa CCM uliotangazwa kwa mbwembwe zote, ukitarajiwa kujibu mapigo ya Edward Lowassa aliyehamia Chadema, umegeuka kuwa kituko baada ya CCM kumtuma katibu mwenezi mkoa wa Dar, Juma Gadafi Simba kuzungumza.

Awali waandishi wa habari waliokuwa wamejikoki vilivyo katika hotel ya Peacock hawakuamini macho na masikio yao kumwona kada huyo wakidhani Nape ndio anakuja kuzungumza.

Mmkutano huo ulikuwa unarushwa live na Azam TV ambao hawakuamini kinachoendelea kwani kada huyo aliishia kiwashukuru tu waandishi kwa kupokea Dr. John Magufuli na kujigamba kuwa atashinda kwa kishindo.

Baada ya mazungumzo yake mafupi, waandishi walimuuliza maswali mengi hadi akachanganyikiwa na kukataa kuyajibu. Waandishi walimfuata hadi nje ya ukumbi na akakimbilia kwenye lift na kuondoka.

Katika mkutano huo alikuwepo msaidizi wa Nape, Chongolo na mpigapicha wa CCM, Bashiri Nkoromo, waliomtaka Gadafi kusitisha mkutano.

My take: CCM wamechanganyikiwa na kuondoka kwa Lowassa

CCM kwa fitna wamezidi..,

walichofanya ni kuonesha publicly kuwa kuhamia kwa LOwassa CDM sio issue kubwa kwao, na wana mambo ya msingi zaidi ya kuongea. Kama wangemjibu Lowassa au ku-react kutokana na kuhama kwake wangemkuza zaidi. Ni wazi kabisa this was a controlled event orchestrated at displaying CCM political maneuvre capabilities, of which i have to say wamefanya vema. Lowassa au richmondi sio ya kujibiwa na CCM, kwani sio wao waliomuita Lowassa Fisadi kwa mara ya kwanza..., aliyemuita Lowassa Fisadi originaly ni mheshimiwa Slaa ambaye jana kadaiwa Ushahidi au afunge bakuli( SHUT UP)!
well played politically...,
 
Back
Top Bottom