Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,021
- 26,336
Hahahahahah luteni gani hata ngeli haweziKibatala: Did you have a nice weekend?
Shahidi: Like that
Hahahahahah luteni gani hata ngeli haweziKibatala: Did you have a nice weekend?
Shahidi: Like that
Ni watu wa kupiga gwaride jibu lilishatolewa.Did you have a nice weekend?
Like speak again😂😂😂
Hivi majeshi yetu mbona upstairs hawako sawa?
Urio hayupo sawa,wampeleke kwa wanasaikolojia kabla hajaharibikiwa zaidi.Urio akacheeeeeeeka......
yaani pale kama ni mpira alipigwa doba😀😀 Urio alijicheka
Quantico ya chato labda..sio chuo Cha FBiHao ni Telegram. Id yako inakuja code namba kama sikosei,
Kipindi niko quantico tulitumia telegram sana, wanaweka eroplane mode kisha wanawasha WIFI, kwenye wifi spot message au call inaenda
Kwahiyo hapa ni nafuu kwa mashtaka au utetezi?Kibatala wewe jaza kurasa tu kwa maneno na maswali ila Urio amakuzidi ujanja
Kibatala: Kwa hiyo Mbowe alikuwa hawezi Kukuhaidi Cheo Sababu alikuwa Mbunge
Shahidi: Sahihi hawezi
Kibatala: Nashukuru Kwa jibu lako Zuri
Kibatala: Wakati Mbowe anakupa Maombi , Ulimkubalia au Moyoni Ulimkatalia
Shahidi: Ilikuwa Tactical Appreciation, Ile Kwamba nitachoma Vituo Vya Mafuta, Kuchoma Masoko,
Kibatala: Na Kumdhuru Sabaya pia Ulikuwa Unachakata
Shahidi: Sijawahi Kumtaja Sabaya Mimi, Nilitaja Viongozi
Kibatala: Akili ya Kawaida ya Luteni haikuwa na zaidi ya Kumchimba Kwamba anataka Kulipua Vituo gani, Kukata Miti sehemu gani?
Shahidi: Hata Ingekuwa ni Mimi, Ukishaanza Kunidodosa nakosa trust na wewe.
Kibatala: Wakati Mnakutana Kupanga Matendo ya Ugaidi, Mahakama Itakapopima, Maneno yako Dhidi ya Maneno ya Mbowe sababu Hakuna Sauti Nyingine wala Decoy?
Shahidi: Ndiyo Maana nikatuma Vijana
Ulio yupo sawa na kibatara anatoa ushahidi mzr Sana anawasaidia upande wa jamhuri ku justify kuwa kulikuwa na mawasiliano, na komando anathibitisha, kimsingi mwisho wa ck anachokifanya ulio Ni mtego ambao kibatara anauingia bila kujua au kwa kujua,Urio hayupo sawa,wampeleke kwa wanasaikolojia kabla hajaharibikiwa zaidi.
Waligoma kuwa upande wa watesi wakakubali kuteseka na Mbowe hata huyo Urio analinda kibarua chake.Kosa lilifanyika hao kina Adamoo kuwa treated kama magaidi, wakati walikuwa plants from get go....
Hawakupaswa kuwa lokapu, hawa walitakiwa kuwa under witness protection kama ipo,, and away from mbowe, ili waje ku testify against mbowe,,
Walikosea kuwaweka selo
Urio hayupo sawa,wampeleke kwa wanasaikolojia kabla hajaharibikiwa zaidi.
Acha tu.komandoo katafutiwa kaz ya kubonda kokoto na mzee wake malip 15k per day aisee Ila hakuna Kama mzazi duniani .Kaona isiwe tabu mwanangu njoo ufany kazinhata hii ujiepushe a madhira ya seriklKumbe unaweza kuajiri komandoo kwa tsh 15000 kutwa kama bei ya kibarua wa ujenzi.
Hawa watu waangaliwe aisee hata kama wamestaafu au wametimuliwa jeiwii.
Ebu jifanye kibatala uliza maswali 10 ya maana tuone!!!Mtanisamehe bure ila maswali ya mawakili wa utetezi ni dhaifu.
Tuendelee kunywa kahawaUlio yupo sawa na kibatara anatoa ushahidi mzr Sana anawasaidia upande wa jamhuri ku justify kuwa kulikuwa na mawasiliano, na komando anathibitisha, kimsingi mwisho wa ck anachokifanya ulio Ni mtego ambao kibatara anauingia bila kujua au kwa kujua,
Stay tuned..
Pumbafu tu hao hamnaEbu jifanye kibatala uliza maswali 10 ya maana tuone!!!
Nawe umekuwa wakili msomi?ZINA MAANA MKUU SANA KULIKO LILE SWALI NA KIREFU CHA DCI