Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi Februari 01, 2022

Hao ni Telegram. Id yako inakuja code namba kama sikosei,
Kipindi niko quantico tulitumia telegram sana, wanaweka eroplane mode kisha wanawasha WIFI, kwenye wifi spot message au call inaenda
Quantico ya chato labda..sio chuo Cha FBi
 
Kibatala wewe jaza kurasa tu kwa maneno na maswali ila Urio amakuzidi ujanja
Kibatala: Kwa hiyo Mbowe alikuwa hawezi Kukuhaidi Cheo Sababu alikuwa Mbunge

Shahidi: Sahihi hawezi

Kibatala: Nashukuru Kwa jibu lako Zuri

Kibatala: Wakati Mbowe anakupa Maombi , Ulimkubalia au Moyoni Ulimkatalia

Shahidi: Ilikuwa Tactical Appreciation, Ile Kwamba nitachoma Vituo Vya Mafuta, Kuchoma Masoko,

Kibatala: Na Kumdhuru Sabaya pia Ulikuwa Unachakata

Shahidi: Sijawahi Kumtaja Sabaya Mimi, Nilitaja Viongozi

Kibatala: Akili ya Kawaida ya Luteni haikuwa na zaidi ya Kumchimba Kwamba anataka Kulipua Vituo gani, Kukata Miti sehemu gani?

Shahidi: Hata Ingekuwa ni Mimi, Ukishaanza Kunidodosa nakosa trust na wewe.

Kibatala: Wakati Mnakutana Kupanga Matendo ya Ugaidi, Mahakama Itakapopima, Maneno yako Dhidi ya Maneno ya Mbowe sababu Hakuna Sauti Nyingine wala Decoy?

Shahidi: Ndiyo Maana nikatuma Vijana
Kwahiyo hapa ni nafuu kwa mashtaka au utetezi?
 
Urio hayupo sawa,wampeleke kwa wanasaikolojia kabla hajaharibikiwa zaidi.
Ulio yupo sawa na kibatara anatoa ushahidi mzr Sana anawasaidia upande wa jamhuri ku justify kuwa kulikuwa na mawasiliano, na komando anathibitisha, kimsingi mwisho wa ck anachokifanya ulio Ni mtego ambao kibatara anauingia bila kujua au kwa kujua,

Stay tuned..
 
Kosa lilifanyika hao kina Adamoo kuwa treated kama magaidi, wakati walikuwa plants from get go....
Hawakupaswa kuwa lokapu, hawa walitakiwa kuwa under witness protection kama ipo,, and away from mbowe, ili waje ku testify against mbowe,,
Walikosea kuwaweka selo
Waligoma kuwa upande wa watesi wakakubali kuteseka na Mbowe hata huyo Urio analinda kibarua chake.
 
Urio hayupo sawa,wampeleke kwa wanasaikolojia kabla hajaharibikiwa zaidi.
1643652415140.png
 
Kumbe unaweza kuajiri komandoo kwa tsh 15000 kutwa kama bei ya kibarua wa ujenzi.

Hawa watu waangaliwe aisee hata kama wamestaafu au wametimuliwa jeiwii.
Acha tu.komandoo katafutiwa kaz ya kubonda kokoto na mzee wake malip 15k per day aisee Ila hakuna Kama mzazi duniani .Kaona isiwe tabu mwanangu njoo ufany kazinhata hii ujiepushe a madhira ya serikl
 
Ulio yupo sawa na kibatara anatoa ushahidi mzr Sana anawasaidia upande wa jamhuri ku justify kuwa kulikuwa na mawasiliano, na komando anathibitisha, kimsingi mwisho wa ck anachokifanya ulio Ni mtego ambao kibatara anauingia bila kujua au kwa kujua,

Stay tuned..
Tuendelee kunywa kahawa
 
Back
Top Bottom