Reginald L. Ishala
JF-Expert Member
- Jun 18, 2011
- 3,811
- 6,780
Pre-planned & Pre-meditated.Jana Jaji alikosa mwelekeo sana hadi mawakili wa utetezi wakawa wanamrudisha kwenye reli...........huenda jaji ana maelekezo tayari au hajui baadhi ya vitu
Sakina Fasta sana,,nikaone labda naweza kutana na Uriomkuu we wahi rau mimi nataka nikaone jinsi kesi ndogo inavyotupwa maana kibatala hajui hata anataka kufanya nini
Mona hukumpinga jiwe alipokuwa katili was kuuwa nakutesa watu au ulikuwa hujazaliwamimi huwa siwapendi watu wahalifu/waovu.
uhalifu/uovu ni kitu kibaya sana.
siko tayari kumtetea au kuwatetea waovu hata ange kuwa ndugu yangu au rafiki yangu, nikigundua ni mhalifu/muovu lazima nikusaliti.
??????????????????????????????,,,sijakusoma,,fafanua.Unamaanisha niniwaswahili tuna msemo wetu unasema;
"Lisemwalo.....Limoooo........kama sio sasa........."
Mbona hakushitakiwa; Jemsi Mbatia? mbona hakushitakiwa Zito Zuberi Kabwe? mbona hakushitakiwa John Shibuda ambaye ndiye mwenyekiti wa viongozi wa vyama vya upinzani.
Uliwahi kumsikia Shibuda kama mwenyekiti wa viongozi wa vyama vya upinzani akitoa tamko juu ya tuhuma za Mbowe mahakamani ?
tuache mahakama ifanye kazi yake.
lkn leo hii Sabaya yupo wapi....Jela miaka 30.Mona hukumpinga jiwe alipokuwa katili was kuuwa nakutesa watu au ulikuwa hujazaliwa
Uache unafiki Mungu hawapwndi unafiki.
Sabaya alikuwa analalamikiwa ni kila mtu kwa tabia zake na amethibirisha alikuwa anafanya unyama huwo kwa maelekezo kutoka juu sasa juu ipi unayoifikiri yenye nguvu na raisi asiwezekuichukulia hatua.
Kuna mbunge mmoja wa ccm alikuwa na silaha nyingi na risasi zake leo yuko mitaani anakula maisha yake. Jiulize alizipata wapi silaha hizo ikiwa sibaraka ya ccm na viongozi wake?
Mungu hapendi wanafiki ccm niwauwaji kupitia mikononi mwao na vyombo vya dola.
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Ukisoma katikati ya mistari utaona kuwa tayari Jaji ameshaamua kutupa hilo pingamizi maana amesharuhusu shahidi arudi kuendelea kutoa ushahidiJaji: Jaji Nimesikia Hoja zenu Kama namna ambavyo mmeziwasilisha na Nitahitaji Muda wa Kuzipitia.. Itanibidi Kuhairisha ili niweze kupitia na Kesho nifanye Maamuzi.. Kwa Namna ambayo Mmewasalisha kwa muda Mrefu na Mimi Nitahitaji Muda Mrefu Kupitia na Kutoa Maamuzi yangu..
Jaji: Kwa hiyo tukutane Kesho Saa 5 Asubuhi, Basi nahairisha shauri hili mpaka Kesho saa 5, SHAHIDI UTAPASWA URUDI, ILI UAMUZI UKIISOMWA UWEZE KUENDELEA USHAHIDI WAKO, Muwe na Jioni Njema wote
Jaji anatoka
Kichwa majimuendekezeni kibatala kesi imalize miaka kumi
Pole mkuu. Kauli ya mwoga. Unaogopa madhara ya katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.nikupoteza muda tu mbowe anatakiwa awe ameshaanza kutumikia miaka yake 30 muda mrefu
tunstsks msendeleo kwasasa huo upuuzi wenu peleka hukoooooooPo
Pole mkuu. Kauli ya mwoga. Unaogopa madhara ya katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
Yawezekana lakini ya Ugaidi Hana. Nawe usijione NI Malika wakuwabashiria watu kuwa waweza Wana hili au like. NIIMANI YANGU kuwa yambkwe NI ya Kisiasa. Ndio yanayo msukubisha. Na siasa za kiafrika unajengewa chuku...Nikumbushe,AKINA Samira Macheri,Mandela,Nyerere,Patria Lumumba,Jina Kwame Inkuruma na wengineo wengi..walibambikwa makosa kisa kukosoa serikali zilizokuwa zawatawala,Ndugu yangu ndio mwendo apitiaao MBOWE. Ya Ugaidi nakana ,Mimi na wewe Kwanza tungejiukiza Ugaidi nini,na kwanini atufanyie Ugaidi Watanzania wenzie. TUMEPEWA KICHWA CHA HABARI NA WAZUNGU CHA NENO UGAIDI,BASI TUNATUMIA KUUANA WENYEWE KWA WENYEWE..kUNYANYASANA ,Hilo neno limepelekea juww na wanao tawala na wanao tawaliwa. Hivi hatusomi Historia za Zama hizo? Nahisi tunatakiwa UMAKINI zaidi.lkn leo hii Sabaya yupo wapi....Jela miaka 30.
hiyo ndiyo haki yake kwa mujibu wa sheria.
huo ndio utawala wa sheria.
hata Mbowe hayupo juu ya sheria,
hata mimi na wewe hatupo juu ya sheria.
tuache sheria ifanye kazi yake.
hupaswi kumuona Mbowe kama malaika, inawezekana kabisa ana maovu yake ambayo hata mke wake hayajui.
Sijakuelewanikupoteza muda tu mbowe anatakiwa awe ameshaanza kutumikia miaka yake 30 muda mrefu
Sawa lakni muache kunyanyasa watu kupitia vyombo vya dola.lkn leo hii Sabaya yupo wapi....Jela miaka 30.
hiyo ndiyo haki yake kwa mujibu wa sheria.
huo ndio utawala wa sheria.
hata Mbowe hayupo juu ya sheria,
hata mimi na wewe hatupo juu ya sheria.
tuache sheria ifanye kazi yake.
hupaswi kumuona Mbowe kama malaika, inawezekana kabisa ana maovu yake ambayo hata mke wake hayajui.
Hakika huku Jk akiogopa upinzani nje ya chama akajikuta anampitisha Mtu hatari kwenye kuua umoja na mshikamano wa Taifa hili pendwa la Mwlm JK Nyerere...Na bado inaonyesha hakna anaeweza kuirudisha ile hali. MANA J ULIMWENGU AMEJARIBU KUWAPA OLE..watawala wanamjia juu...bila kujali kuwa alikua anawaonya juu ya mbinu chafu za uongozi. Na hatma ya Nchi!!Siasa za visasi nchi hii vilianza rasmi 2016 wakati wa kumtafuta mrithi wa JK, Vita ikawa kubwa ndani ya CCM, uadui ukawa mkubwa kati ya kambi na kambi. Baada ya CCM kumpa urais waliyempa hali ikawa ni mbaya zaidi, uhasama ukahama toka makundi ya CCM na kurudi kwa raia wote - aliyempiga rais hata kwa mambo ya msingi alikipata anashostahili, vyama vya siasa navyo nikazuiwa kufanya siasa nchini hadi leo wanafanya katika mazingira magumu mno.
Hadi leo kinachoendelea kwa Mh. Mbowe ni mwendelezo wa siasa za chuki na kukomoana. Sina uhakika kama nchi yetu itarudi kwenye upendo na kuheshimiana uliokuwapo tangu enzi zile za mwalimu mpaka hadi 2015 upendo ulipokoma rasmi.
Mkiacha vitendo vya kihalifu, ukorofi, matusi n.k hakuna atakaye wasumbua, ila kama mkiendekeza tania za kihalifu, ukorofi, matusi, ujambazi, uzaji madawa n.k mtakabiliana sana na mkono wa sheria.Sawa lakni muache kunyanyasa watu kupitia vyombo vya dola.
Huyo mbowe nathibitisha hilo hana kosa ya hilo mnalomsingizia.
Hakuna mkamilifu lakni unyama unaofanywa na policcm hata wakifa kambi mzima sichukii kwa sbabau hawafanyi kama sheria inavyotaka bali hufanya kwa kuwafurahisha ccm na viongozi wao.
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Hebu twende kwenye hoja zako tukuamini.Mkiacha vitendo vya kihalifu, ukorofi, matusi n.k hakuna atakaye wasumbua, ila kama mkiendekeza tania za kihalifu, ukorofi, matusi, ujambazi, uzaji madawa n.k mtakabiliana sana na mkono wa sheria.
nawashauri wafuasi wa Mbowe wote waamue kuwa Raia wema hakuna atakaye wasumbua.
Jifunzeni kufuata sheria na kuheshimu mamlaka zote zilizopo kisheria kama vile;
Polisi, Mahakama, Bunge na Viongozi wote wa Serikali.
Huyu haya madude aliyapata wapi?Mkiacha vitendo vya kihalifu, ukorofi, matusi n.k hakuna atakaye wasumbua, ila kama mkiendekeza tania za kihalifu, ukorofi, matusi, ujambazi, uzaji madawa n.k mtakabiliana sana na mkono wa sheria.
nawashauri wafuasi wa Mbowe wote waamue kuwa Raia wema hakuna atakaye wasumbua.
Jifunzeni kufuata sheria na kuheshimu mamlaka zote zilizopo kisheria kama vile;
Polisi, Mahakama, Bunge na Viongozi wote wa Serikali.
Hivi hiyo Diary/Shajara itakuwa ndio yenyewe au itayeyuka au itafanyiwa change kota?Pre-planned & Pre-meditated.
Akajinyonge ikulu kwa Gaidi chief Hangaya periodMimi nadhani maana ya jaji ni kuwa, kwa kuwa kinachobishaniwa ni ama register ipokelewe au la. Na isipopokelewa Bado shahidi ataendelea na ushahidi wake. Na ikipokelewa Bado ataendelea na ushahidi