Yaliyojiri: Maadhimisho ya miaka 37 ya Chama Cha Mapinduzi - Mbeya!

Yaliyojiri: Maadhimisho ya miaka 37 ya Chama Cha Mapinduzi - Mbeya!

Sasa anaongea nape na anasema kazi ya ccm iliyobaki ni kutafsiri uchumi kutoka kwenye makatatasi kwenda uhalisia
 
Ndani ya ccm hakuna kama lowasa, amewazidi akili cc na Nec yote ya maccm!
 
wakuu kumbe mbeya taarabu waicheza kwelikweli nilijua iko miko ya pwani tu uwanja umelipuka sasa kila mtu anakata chake alichopewa na mungu watu kila lona ya uwanja ni kijani na njano juu chini nyeusi kila unapogeukia watu ni ccm chama cha watanzania ngona inazidi kunoga safi sana hadija safi ccm.
 
huo uchumi wameshindwa kuutafsiri kwa zaidi ya miaka 52 ndio wataweza kwa mwaka mmoja uliobaki?
au anadhani watanganyika tumelala usingizi wa pono?
waache kujidnganya na siasa zao za maji taka.
kidumu chama lakini umaskini uendelee na wachache wafaidi ndio jadi yao
 
Mbona hakuna watu pamoja na gharama kubwa za maandalizi ? A
 
huo uchumi wameshindwa kuutafsiri kwa zaidi ya miaka 52 ndio wataweza kwa mwaka mmoja uliobaki?
au anadhani watanganyika tumelala usingizi wa pono?
waache kujidnganya na siasa zao za maji taka.
kidumu chama lakini umaskini uendelee na wachache wafaidi ndio jadi yao

Hapo sasa huyu bwanamdogo kila akihojiwa yeye hana kingine zaidi ya kitafsiri uchumi
 
Mbeya ni Ngome ya CCM ndo maana Maadhimisho yamefanyikia Mbeya..Nape!:mod: ccma kauli mbiu yao ni kutafsiri ukuaji wa kiuchumi! eti vijana wajanja wapo CCM?
kwa hiyo sehemu ambako sio ngome yao hawawezi kufanya maadhimisho? Kweli ccm imechoka kuongoza tanganyika!
 
kweli ccm ni chama pendwa uwanja unazidi kuzizima majukwaa ya kukaa hayatoshi sasa kila upande ni full mzuka sijua akiingia jk itakuwaje.
 
Wakati huo huo shule ina nwalimu mmoja tu. Hospitali hamna hata panadol na viongozi wanakimbilia kutibiwa ulaya. Wakati huo huo umeme umekuwa anasa. Hivi haya yote yanaongelewa hapo kweli au wanaongea vitu vingine tu ambavyo havina maslahi kwa waltz.
Sisiemu kwisha habari yake. Baada ya leo kinachofata tena ni minyukano ya urais......tehetehe....
 
kiongozi kijana ambaye pia ni naibu waziri wa fedha ambaye pia ni naibu katibu mkuu bara mwigulu lameck nchemba yupo uwanjani akiwa samabamba na mzee mwandosya wamejaa tele hapa uwanjani.
 
Hivi punde mwenyekiti wa ccm atahutubia taifa moja kwa moja kutoka mbeya viwanja vya sokoine
 
wakuu kumbe mbeya taarabu waicheza kwelikweli nilijua iko miko ya pwani tu uwanja umelipuka sasa kila mtu anakata chake alichopewa na mungu watu kila lona ya uwanja ni kijani na njano juu chini nyeusi kila unapogeukia watu ni ccm chama cha watanzania ngona inazidi kunoga safi sana hadija safi ccm.
watu wamewafuata wasanii na si kingine hata kidogo!
 
Nape anaweka mambo sawa kumkaribisha kikwete jukwaani.
 
Back
Top Bottom