Yaliyojiri: Maadhimisho ya miaka 37 ya Chama Cha Mapinduzi - Mbeya!

Yaliyojiri: Maadhimisho ya miaka 37 ya Chama Cha Mapinduzi - Mbeya!

ccm imedoda!!! hiki chama lazima kife mwaka huu,hongera lowassa kwa kuliona hilo na kuamua kufanya harakati kivyakovyako!!!

mawazo yako nadhani unakiwazia chadema siyo ccm chama chenye kujali na kuheshimu watu hakiwezi kufa kirahisi chama cha kilaghai kama chadema ndicho kitakachokufa mapema mwaka huu.
 
unasumbuliwa na njaa!!!

mimi sihangaiki kubeba sumu kama nyie ndiyo mle liko wazi kuwa bila kupewa kazi za kumwagia watu sumu hampati kula.
 
Hongera CCM kwa miaka 37 asante kwa mlipotufikisha kwa sababu sehemu nyingine wanapigana hata kupata sehemu ya kutoa maoni yao au haki zao za msingi ambazo kwa mwendo huo huo wa taratibu tunashukuru kwa sababu hatujasimama tunaenda mbele! Lakini bado mna kazi nzito ya kufanya kwa kile ninachokiona dsm ajira vijana hatuna, kwa kile ninachokiona kwenye shule zetu zero zinaongezeka kama umri wenu,kamaninavyoona tembo na wanyama ambao hatukuomba kuwa nao ila kwa neema za mungu wanavyoisha, kama ninvyoona wanasiasa na viongozi wa juu matajiri kupindukia huku masikini wamejaa kwenye mabarabara mnayopita na v8 zenu!! Mna kazi ya kufanya!! You have work to do!! HONGERA CCM!
 
waziri wa uchukuzi ndg mwakyembe naye anasonga mbele kucheza ngoma ya jadi toka kyela sambamaba na wananchi wake.
 
Ccm ni chama cha watu chama cha wanyonge na wapenda amani
 
Kumbe uwanja wa sokoine umechoka hvo?
Sina uhakika kama uwanja huo una vyoo maana hao jamaa walivojazia jazia na misosi waliyoahidiwa nahisi watahitaji huduma ya choo sana.
 
mimi sihangaiki kubeba sumu kama nyie ndiyo mle liko wazi kuwa bila kupewa kazi za kumwagia watu sumu hampati kula.
Mkuu achana na walevi wa gongo, tue updates za mkutano mbeya
 
Tuungane kuwa tizama chama cha mizigo live. Ila mzee wa mvi amekacha sherehe hizi,hivyo inatuonyesha mpasuko ulioko si mdogo
 
malkia wa mipasho na nguli wa taarabu mama hadija omari kopa anapanda jukwaani kutumbuiza ni shangwe na shamlashamla tupu ccm oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
 
TOT taarabu wamekamilika kama upo karibu na runinga fungulia tbc ni raha tupu wakati huo kipenzi chwa watanzania na mwenyekiti wa ccm taifa jk kikwete anatarajiwa kuwasili wakati wowote.
 
katibu mwenezi wa ccm taifa ametoa afa kwa kikundi cha mbozi band kurekodi nyimbo zake kwa gharama ya nape honhera nape kwa kuwaunga mkono vijana wa mbozi viva ccm.

"afa","honhera" ndio nini?
 
uwanja umejaa kwa sababu wana mbeya wanahamu ya kuona wasanii bureee bila kiingilio kama kina dokii na wengine, sidhani kama dhamira ya wengi ni kuudhuria sherehe za ccm.
 
Mkuu achana na walevi wa gongo, tue updates za mkutano mbeya

ni kweli mkuu tena siku hizi wameongezewa vilevi ilikuwa viroba sasa na gongo ndani.
 
Mbeya ni Ngome ya CCM ndo maana Maadhimisho yamefanyikia Mbeya..Nape!:mod: ccma kauli mbiu yao ni kutafsiri ukuaji wa kiuchumi! eti vijana wajanja wapo CCM?
 
Back
Top Bottom