mjepo
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 4,913
- 919
Wakuu chama cha watanzania leo kinaadhimisha miaka 37 tangu kuanzishwa kwake mjini mbeya kwa sasa burudani zinaendelea.
mgeni rasmi anatarajiwa kuwa rais na mwenyekiti wa ccm taifa mh jakaya mrisho kikwete.
viongozi wengene wa kitaifa wa ccm pia wamefika akiwemo ndg nape,kinana ambaye pia ndiye katibu mkuu wa ccm taifa mwanasiasa mwenye huruma sana na watu mwenye kujishusha siku zote kwenye kazi zake.
sherehe hizi pia zinaadhimishwa kote nchini kwa mikoa yote kwa namna tofauti tofauti.
mgeni rasmi anatarajiwa kuwa rais na mwenyekiti wa ccm taifa mh jakaya mrisho kikwete.
viongozi wengene wa kitaifa wa ccm pia wamefika akiwemo ndg nape,kinana ambaye pia ndiye katibu mkuu wa ccm taifa mwanasiasa mwenye huruma sana na watu mwenye kujishusha siku zote kwenye kazi zake.
sherehe hizi pia zinaadhimishwa kote nchini kwa mikoa yote kwa namna tofauti tofauti.