Yaliyojiri leo mapokezi ya Bulaya na Lembeli; CHADEMA waitikisa Bunda

Ni makamuzi tu...Asante Bulaya. Umeonesha mfano wa kuigwa kwa vijana na wanawake nchini. Kuwa kwenye timu sahihi inayoendana na uwezo wako.

 
Kama namwona nape vile akilegeza kamba za viatu kwa jinsi vinavyo mbana.....
 
Machadema kwa sifa daaaah, wahurumieni ndg zenu mtawauwa na presha wenzenu
 
Upendo. Wapiganaji hupendana namna hii. Si maCCM yanapigana hadi kutaka kutoana roho. Kikwete aliwahi kusema hawaaminiami kabisa wanaweza hata kuwekeana sumu...

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…