HabariChademamara
Senior Member
- Apr 6, 2015
- 113
- 91
Kamanda Ester Bulaya akisema na wakazi wa Bunda.
Katibu Mkuu BAWACHA jukwaani muda huu!!
View attachment 270556
Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Mara kamanda Vincent Nyerere akiwa jukwaani kumtambulisha Kamanda Ester Bulaya kwa wananchi wa Bunda mjini.
View attachment 270558
Hayo makapi hayana umuhimu wowote
hawa niwanawake bora kabisa katika siasa za tanzania pia ni wawakilishi wa kweli katika kuwakilisha wanawake wa tanzania!!Hii combination ya ester na halima ni hatari kabisa
Tulia oksijeni iingie unapumulia mashine halafu unarukaruka!Hayo makapi hayana umuhimu wowote
Waambieni kabisa wasile porojo busega tutawapopoa na mawe, yaani wapiti kasi kama msafara wa JK.
Tulia oksijeni iingie unapumulia mashine halafu unarukaruka!
Tulia oksijeni iingie unapumulia mashine halafu unarukaruka!
Hayo makapi hayana umuhimu wowote
Waambieni kabisa wasile porojo busega tutawapopoa na mawe, yaani wapiti kasi kama msafara wa JK.
Hayo makapi hayana umuhimu wowote