Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 71
Habari nilizozipata hivi punde ni kwamba The late sumari aliekuwa mbunge wa arumeru mash.anazikwa jioni hii kijijini kwao huko jimboni.Rais Kikwete anaongoza shughuli hiyo ya mazishi.mwenye up date zaidi atujuze tafazali.
Regia (rip) alivutia zaidi vile alikuwa mwanachama wa jf.Naona habari zake hazijavutia jukwaa kama la Rejia!RIP SUMARI
Naona habari zake hazijavutia jukwaa kama la Rejia!RIP SUMARI
Sumari alikuwa/ni GambaNaona habari zake hazijavutia jukwaa kama la Rejia!RIP SUMARI
Kwa sababu yupo upande wa mafisadi
Huyo marehemu alishawahi kumwambia Dr Slaa kama hana hoja nyingine zaidi ya ufisadi wa EPA, hakae kimya.
Yeye ndio kakaa kimya sasa.