Yaliyojiri kwenye mazishi ya Sumari

Mwanajamii

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2008
Posts
7,063
Reaction score
71
Habari nilizozipata hivi punde ni kwamba The late Sumari aliyekuwa mbunge wa Arumeru Mashariki anazikwa jioni hii kijijini kwao huko jimboni.

Rais Kikwete anaongoza shughuli hiyo ya mazishi.

PICHA (kwa hisani ya Edson wa JF):


 
bado hajazikwa tu? rip mbunge.
 
Mbona msiba wa huyu marehemu hapa JF haujapewa uzito mkubwa kama misiba ya waheshimiwa wengine?
 
Huyo marehemu alishawahi kumwambia Dr Slaa kama hana hoja nyingine zaidi ya ufisadi wa EPA, hakae kimya.

Yeye ndio kakaa kimya sasa.

 
Siyo Mbunge wa Arumeru Mashariki, alikuwa Mbunge Mteule wa Arumeru Mashariki.
R.I.P. Sumari
Habari nilizozipata hivi punde ni kwamba The late sumari aliekuwa mbunge wa arumeru mash.anazikwa jioni hii kijijini kwao huko jimboni.Rais Kikwete anaongoza shughuli hiyo ya mazishi.mwenye up date zaidi atujuze tafazali.
 
Naona habari zake hazijavutia jukwaa kama la Rejia!RIP SUMARI
 
Naskia wameahirisha mazishi kwa sababu ule ukarabati wa ile barabara iendayo kwa marehemu haujakamilika
 
Naskia wameahirisha mazishi kwa sababu ule ukarabati wa ile barabara iendayo kwa marehemu haujakamilika
 
CCM wafanya kampeni msibani,Lema ashangiliwa baada ya mazishi,Katibu CCM wilaya nusura achapwe makonde alipojaribu kumzuia watu wasimsalimie mbunge Lema, wana CCM wenzake washangaa.
 
ole medei akiwakilisha wabunge wa arusha amempiga kijembe lema kwa kusema eti wabunge vijana wajifunze kutoka kwa marehemu sumari.
 
Huyo marehemu alishawahi kumwambia Dr Slaa kama hana hoja nyingine zaidi ya ufisadi wa EPA, hakae kimya.

Yeye ndio kakaa kimya sasa.


Kana kwamba ufisadi wa EPA lilikuwa jambo dogo sana kwa watanzania. Matamshi yake yalikuwa matusi kwa wananchi.

 
Yaelekea huyu Ole Medeye kalewa cheo cha ubunge anayoishikilia kwa muda.
Kuna nini marehemu sumari alichofanya cha kuigwa??

Maana mimi cjaona kbs!

Labda ya kuwaweka wanainchi wapiga kura wake ktk wakati mgumu kimaisha tu!
 


 

Attachments

  • IMG_0024.JPG
    83.2 KB · Views: 1,876
  • IMG_0117.JPG
    53.5 KB · Views: 1,857
  • IMG_0145.JPG
    65.1 KB · Views: 1,840
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…