Modestproposal
Senior Member
- Jan 6, 2022
- 125
- 222
Kwa majina yao au kwa idadi tu,kwamba watakuwa 20 au nazaidi?Orodha ya mashahidi lazima ijulikane wakati wa committal proceedings. Hawawezi kuleta Shahidi ambaye hayuko kwenye orodha bila kibali cha Mahakama.