Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,597
Uko sahihi mkuu tuko pmj
Kwa nini wanacheza na akili zetu? Nani kampa hayo madaraka?huyo ndo raisi kiongozi mkuu na bwana mipango
Huyu mzee ni keroKilosa jana waliambiwa mama anakuja wakaniandaa kwa ugeni... Ghafla akaja Mzee wa Msoga kumuwakilisha mama.
Sent from my TECNO K8 using JamiiForums mobile app
Mfyuu hata warugulu hawatajitokezaEti wananchi wajitokeze kwa wingi
Hajasema tuje na mabango ya aina gani?Aidha Mkuu wa mkoa wa Morogoro Bw. Martin Shighela alisema ziara hiyo ya Samia Suluhu Hassan atakutana na Wananchi na hivyo akatoa wito kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kumlaki Rais wao.
Ni mkoa wenye eneo kuuubwa lakini cha ajabu huwenda huo mkoa unawanyama wengi na maeneo ya mbuga za wanyama kuubwa kuliko hata watu na maeneo ya watu kuishiKwa kweli mkoa wa Morogoro unapaswa kumegwa.
kwa sababu ni usalama wa taifaKwa nini wanacheza na akili zetu? Nani kampa hayo madaraka?
Kuumega mko wa morogoro ni kuuharibu maana sehemu kubwa ya morogoro ni misitu na mbuga makazi ya wananchi yako scattered sanaKwa kweli mkoa wa Morogoro unapaswa kumegwa.
unato....ngozwa na wewe unacheeeka
Ulitaka alie?un
unato....ngozwa na wewe unacheeeka
Mbwa mwitu analinda usalama wa kondookwa sababu ni usalama wa taifa
Hahahahaaaa.. hata huku USA, George Bush, Clinton, Obama, Trump ...bado wanaendelea kukagua miradi ya maendeleo...kazi iendelee.Hivi huyo mzee wa Msoga hajastaafu?
Nina mashaka kuwa ana fanya kazi ya urais kwa maana ya kuwa hajastaafu
Acha kueneza uongo, Trump ana keshaondolewa huyo atakagua mradi gani?Hahahahaaaa.. hata huku USA, George Bush, Clinton, Obama, Trump ...bado wanaendelea kukagua miradi ya maendeleo...kazi iendelee.
Au_wambuziUlitaka alie?
na TaboraKwa kweli mkoa wa Morogoro unapaswa kumegwa.
Mkuu GEMBESON ,umeandika jambo la msingi sana. Kongole.Mnapopata bahati ya kuongea na Rais, muwe mnafikisha kero zinazoikabili jamii husika.
Mfano hapo Morogoro JPM alifanya ubabe kwa mwekezaji wa kile Kiwanda cha Tumbaku (TTPL) hadi wakasusa wakafunga kiwanda. Hivyo zaidi ya wakazi 10,000 wakajikuta wanakosa ajira sasahivi wapo mtaani.
Hivyo tumieni fursa hiyo mwambieni Mama amrudishe huyo mwekezaji.
Kwani kenyewe hakataki kutongozwa?un
unato....ngozwa na wewe unacheeeka