Kyaiyembe
JF-Expert Member
- Dec 1, 2011
- 1,706
- 665
Ni muhula mmoja tu mkuuNajiuliza maswali mpaka sasa na bado sipati majibu! Januari Mkamba ndani ya 5 bora kwa kigezo gani? Amekuwa Naibu waziri kwa Muhula mmoja tu, amekuwa Mbunge kwa Mihula miwili tu, sasa ni kipi kilichomfanya hata ateuliwe?