rais hawez toka kabila kubwa.
Kwa nini?
rais hawez toka kabila kubwa.
Tujadiliane kwa lugha nzuri kuniita mimi chizi usijione hizo lugha unazijua peke yako na mimi nikirudisha kwa lugha hiyo tutachafua jukwaa.
Hakuna aliemsafi, kama anahonga na mchango wake kwa taifa unaonekana hakuna tabuUtendaji wakuhonga wanawake nyumba za serikal
Tujadiliane kwa lugha nzuri kuniita mimi chizi usijione hizo lugha unazijua peke yako na mimi nikirudisha kwa lugha hiyo tutachafua jukwaa.
Kasema hakusema hivyoo wamemnukuu vibaya akiulizwa zaidi anasema wakasome katiba ya chama
Tujadiliane kwa lugha nzuri kuniita mimi chizi usijione hizo lugha unazijua peke yako na mimi nikirudisha kwa lugha hiyo tutachafua jukwaa.
Wapambe wa Lowassa waliokuwa wanamlinganisha na Mitume wa Mungu ndiyo waliompa laana!
mkuu ungeachana kwanza na kutuwekea hayo mavideo yako,, nani ana muda wa kuyaangalia sasa hivi?
mpinzani anapita...mipango aliyoisuka ya namna ya kummaliza el ni kabambe mno ...jina la fisadi lilikatwa mapema mno na watu wa maadili tena baada ya watu wa usalama kuwasilisha riport yao.. yote hii ni mipango ya mpinzani no 1 wa el...na vile vile system iko nyuma yake....
Kwa nin lowassa asiende chama pinzaniiiiiiii
Nape anaongea Star Tv anasema majina ndio hayo ambao hawajaridhika eti wakate rufaa
Lowassa yupo kwenye list?