dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,126
- 49,385
... leo kapapaswa papaswa na wa upande wake hajapelekewa moto wa kutosha; haja imebaki pahala pake leo hajaisumbua mahakama.Shahidi leo hajabanwa akaenda uwani?
... leo kapapaswa papaswa na wa upande wake hajapelekewa moto wa kutosha; haja imebaki pahala pake leo hajaisumbua mahakama.Shahidi leo hajabanwa akaenda uwani?
... sahihi 100% Mkuu. Mambo ya michongo ukikutana na brains zinazofanya kazi; ukikutana na binadamu wanaojitambua kwanini wako duniani lazima mpoteane.Mkuu hawa Jamaa lazima wapoteane kwani mwanzoni kabisa Hangaya akisema hawa Watuhumiwa wenzake na Mbowe walishahukumiwa Kwa kosa la ugaidi. Mara ya pili akajakusema kinachowakabili Watuhumiwa wale hasa Mbowe ni kosa la kutoheshimu Mamlaka...
... umeniongezea maarifa Mkuu! Shukrani.Kwenye Hilo la miaka miwili haliwezekani mkuu,kesi ya Ugaidi na Uhujumu uchumi ikishaanza kusikilizwa mahakamani,hapaswi kusikilizwa zaidi ya miezi Tisa,uwe umepeleka mashahidi wote au la...
Hiyo siku itakuwa balaaNasubiri siku Mbowe atakavyopandishwa kizimbani ni one mauza uza ya mashaidi ya waliofungua kesi.
... walisema wanao 21.