Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe na Wenzake leo 20/01/2022. Shahidi 10 amaliza, shahidi wa 11 mwingine kuanza ushahidi kesho 21/01/2022

Mkuu hawa Jamaa lazima wapoteane kwani mwanzoni kabisa Hangaya akisema hawa Watuhumiwa wenzake na Mbowe walishahukumiwa Kwa kosa la ugaidi. Mara ya pili akajakusema kinachowakabili Watuhumiwa wale hasa Mbowe ni kosa la kutoheshimu Mamlaka...
... sahihi 100% Mkuu. Mambo ya michongo ukikutana na brains zinazofanya kazi; ukikutana na binadamu wanaojitambua kwanini wako duniani lazima mpoteane.
 
Kwenye Hilo la miaka miwili haliwezekani mkuu,kesi ya Ugaidi na Uhujumu uchumi ikishaanza kusikilizwa mahakamani,hapaswi kusikilizwa zaidi ya miezi Tisa,uwe umepeleka mashahidi wote au la...
... umeniongezea maarifa Mkuu! Shukrani.
 
... walisema wanao 21.
1643218894376.png
 
Back
Top Bottom