Maneno waliyojipangia Ili kupata ushahidi feki yamewaishia,hizi hapana, sijui zitakuwa nyingi Sana awakujipanga kucheza comedyKwa Cross Examination aliyokutana nayo mpelelezi Jumanne jana na majibu yake ya "HAPANA, SIJUI" atakuwa ametibua yote waliyoyapanga kwa hao mashahidi wengine waliobaki. Jamuhuri inaaibika, jeshi la polisi linaaibika
Unaakili kweli wewePia kimbuka yeye siyo malaika pia
Naomba kuuliza , hao wanajeshi wastaaf alikuwa nao wa kazi gani?
Redicusly? Khaaa Kwa kuandika kiswahili sanifu Kuna shida gani? Mbona tutaelewa tu kamaniHii kesi wakati mwingine Mashahidi wa Jamhuri, Jaji anashindwa kucheka mbele yao kwa namna wanavyojichanganya anaamua kwenda kucheka chumbani na mkewe. Et, Ugaidi ungefanyika nchi nzima kwa kutumia bastora ya risasi 3,(Redicusly)
Eti Jambazi Sabaya kutaka kuuwawa ni Ugaidi lakini Lissu aliyepigwa marisasi mbele ya viunga vya bunge si Ugaidi (absurd)
Kwanini unakua bothered na vitu vidogo vidogo kama spelling mistake, wa bongo na kuponda ndomaan hatuendeleaRedicusly? Khaaa Kwa kuandika kiswahili sanifu Kuna shida gani? Mbona tutaelewa tu kamani
Ujinga mtupu.Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu
Chief Hangaya ndiye aliyesema kuwa Mbowe ni gaidi na alitoroka nchi, na wenzake walikwishahukumiwa. Hangaya ni mnafiki. Naye ni kundi moja katika kubambikia watu kesi.Hapo Hangaya hana lawama kubwa yeye kafanya alicho paswa kufanya, kupeleka tuhuma mahakamani jambo ambalo ni sahihi uozo uko mahakama yetu na police kupokea kesi ya mchongo kama hiyo. sioni kama chief Hangaya ana kosa katika hili hiyo kesi elitegenezwa na mwendazake pamoja na police.
Kibibi kuwa kiongo ongo haipendeziChief Hangaya ndiye aliyesema kuwa Mbowe ni gaidi na alitoroka nchi, na wenzake walikwishahukumiwa. Hangaya ni mnafiki. Naye ni kundi moja katika kubambikia watu kesi.
Kama alitaka haki itendekeke kwa nini atoe hukumu kwa jambo ambalo hana uhakika?
Walinzi wake, una jingine. Mhaya mjinga sana unatutia aibu kuwa chawa.Pia kimbuka yeye siyo malaika pia
Naomba kuuliza , hao wanajeshi wastaaf alikuwa nao wa kazi gani?