mulwanaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 5,262
- 12,835
Hapo Hangaya hana lawama kubwa yeye kafanya alicho paswa kufanya, kupeleka tuhuma mahakamani jambo ambalo ni sahihi uozo uko mahakama yetu na police kupokea kesi ya mchongo kama hiyo. sioni kama chief Hangaya ana kosa katika hili hiyo kesi elitegenezwa na mwendazake pamoja na police.Hapo ndipo ninapomwona Hangaya kuwa ni miongoni mwa Ibilisi.
Huwezi kuufurahia na kuunga mkono ushetani, usiwe sehemu ya utawala wa shetani. Siku yaja, Mungu atadhihirisha ukuu wake ambapo shetani Hangaya na milki yake yote watajua wanayemtumikia hana mamlaka juu ya Mungu atoaye haki kwa wakati ufaao.