Heavy equipment
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,446
- 977
Utashangaa siku ya hukumu jaji wa mchongo akasema shahidi alijibu vyema maswali ya Kibatla
Utashangaa siku ya hukumu jaji wa mchongo akasema shahidi alijibu vyema maswali ya Kibatla
Hauna unachokijua zaidi ya Ushetani tu na uzezetaNa mimi ni miongoni mwa watu tunaounga mkono juhud za serikali... Mbowe hakuwa mtu mwema.
Nyie mnachanganya siasa na usalama wa nchi...
Ingieni barabarani mkamtoe
.... halafu kuna nguchiro eti wanamtaka Mbowe "aombe msamaha" Rais yuko tayari kumsamehe! Washindwe duniani na mbinguni!Huenda hata siro anataka kujivua lawama ameamu kila mtu afe kivyake
... akina J4 waliostahili kuwa jela long time (issue ya Prof. Maeda kubambikiwa pembe za ndovu Arusha na huyo huyo J4) ndio wamesimama vizimbani kushuhudia wenzao uongo! Taifa lisilotenda haki ni machukizo! Halafu leo sijawaona mataga kwenye huu uzi japo kuja kuchafua hali ya hewa; umekuwa shubiri kwao I suspect!mashahidi ndio wanapaswa kuwa wameshafungwa pamoja na general sabaya
Huwaoni wanajua ukweli... akina J4 waliostahili kuwa jela long time (issue ya Prof. Maeda kubambikiwa pembe za ndovu Arusha na huyo huyo J4) ndio wamesimama vizimbani kushuhudia wenzao uongo! Taifa lisilotenda haki ni machukizo! Halafu leo sijawaona mataga kwenye huu uzi japo kuja kuchafua hali ya hewa; umekuwa shubiri kwao I suspect!
Leo Kibwatala ameamua liwalo na liwe.Ndio maana kibatala kaliambia kazi linalojua ni kutesa tu, ma police ccm yote zero brain.
... kuna viazi wanajitoaga ufahamu bila aibu watakwambia mawio ni magharibi; leo sijawaona kabisa humu!Huwaoni wanajua ukweli
Kesi imekuwa chungu mno. Ilipofika pamenoga.... kuna viazi wanajitoaga ufahamu bila aibu watakwambia mawio ni magharibi; leo sijawaona kabisa humu!
Pia kimbuka yeye siyo malaika piaNimejaribu kufikiria wanamshitaki mbowe kesi ya UGAIDI,
Labda wangesema ugaidi wa kulipua ikulu....tena wangekamata shehena ya Ak 47, vifaru vya kivita...maherkopa yaki sasa kama Air force one..... ila huu ni UGAIDI wa kijinga na kipumbavu ambao my Alumin mbowe katu katu.....
Hawezi kuufanya....yaan ukifiatilia unaona ni MICHONGO Mitupu.....
My younger brother Pambalu Nakumbuka kipindi ana anza siasa alivutiwa Sana na freeman Mbowe....
Mbowe kweny Nchi hii ni kama tanuru ametumika Sana kama jiko la kupika viongozi wengi Vijana.....
Naisubiri kwa hamu speech ya mbowe SIKU aki achiliwa huru.....
Hii kesi wange achana nayo ni kudharilisha jeshi la polisi......
Ina maana Tiss na Jwtz wangekua kimya kwenye Hili......leo J4 amelala na viatu....mahakamani
#free freeman
#Mbowe sio gaidi
Kikabila chetu byembalilwa ni MATAKOPia kimbuka yeye siyo malaika pia
Naomba kuuliza , hao wanajeshi wastaaf alikuwa nao wa kazi gani?
Ni kosa kwani? Kwa sheria gani?Kikabila chetu byembalilwa ni MATAKO
Kwa ajili ya VIP Protection.Pia kimbuka yeye siyo malaika pia
Naomba kuuliza , hao wanajeshi wastaaf alikuwa nao wa kazi gani?
Mbowe Siyo malaika Ni binadamu kabisaaaa.Malaika Ni URIO ambaye amjamleta mahakamani. Mnachonga kinyago alafu kinawaogopesha peleka Urio mahakamani. Mbowe Ni gaidi kamwambia urio nitafutie watu wa kufanya ugaidi alafu urio anawatafuta magaidi wakafanye ugaidi na bado Urio analipwa na Jwtz na anafanya kazi za jeshi wakati Ni Muhusika. Mkiambiwa mjitu meusi Ni majinga fulani hivi watu tunakataa. Sasa unamwachaje mtafuta magaidi wakafanye uharifu na unamlipa?. (Wazungu wanatudharau sababu tunatengeneza wenyewe mazingira ya kuonekana mabogasi.)Pia kimbuka yeye siyo malaika pia
Naomba kuuliza , hao wanajeshi wastaaf alikuwa nao wa kazi gani?
Kweli aiseeNchi imetolewa sadaka kwa Mapepo waamue maisha ya watu wengine. Alafu mnategemea haki itafanyika?. Yanahaibika maibilisi uku yakijua ndiyo yanauwa na kutesa watu alafu yanabambikiza kesi yanapeleka mahakamani yanakuja kutoa ushaidi wa uongo.Ni MACHUKIZO Makubwa kwa mwenyezi MUNGU
Ofcourse Mbowe is still a winner anywayNimejaribu kufikiria wanamshitaki mbowe kesi ya UGAIDI,
Labda wangesema ugaidi wa kulipua ikulu....tena wangekamata shehena ya Ak 47, vifaru vya kivita...maherkopa yaki sasa kama Air force one..... ila huu ni UGAIDI wa kijinga na kipumbavu ambao my Alumin mbowe katu katu...
Huyu Denis Urio ndiye aliyeripoti Mbowe kumtuma Vijana wa kufanya Ugaidi. Kwa Sababu ni Homeboy wa Mbowe. Akaenda kuripoti Polisi kwa Kingai. Mbona hajaletwa Mahakamani kuja kuzibitisha Ushiriki wake?Sio tu hivo mkuu. Yaani inaonekana kesi nzima imetokana na taarifa (sio maelezo) ya Urio. Na wao sasa hawana hata ushahidi wa meseji au sauti ya Mbowe!! Wanasema watuhumiwa...
Hao wanajeshi sio wastaafu wameachishwa kazi kwa ugonjwa na wanahaki kupata kazi sehemu nyinginePia kimbuka yeye siyo malaika pia
Naomba kuuliza , hao wanajeshi wastaaf alikuwa nao wa kazi gani?