nisengependa ya chacha wangwe yatokee tena, kijana wa morogoro, kulishwa sumu kwa denis, kijana igunga, e.t.c
mtahangaika sana lakini mwisho wa siku mtajajuta tu mzimu wa zitto uko nanyi kokote mlipo.
kila kitu kiko sawa, ulinzi ni wa kutisha mpaka kwenye paa za nyumba. Imenikumbusha ziara ya obama! Vijana wana ari sijawahi kuona!
Update: Ukumbi umeshajaa na viongozi mbali mbali wamewasili tayari, na taarifa kamili ni kuwa kamanda atawasili ndani ya dakika kumi.
Update: Kamanda mawazo anaingia anaingia anashangiliwa sana! Anasalimiana na viongozi mbali mbali.
tunawashukuru sana makamanda , ulinzi binafsi ni haki ya kikatiba , ni makosa makubwa sana kutojilinda , unaweza kufungwa jela .
Kule walishaamka, no need kuhamasisha tena. Soon hata kanda ya mwanza hutayasikia yaha kwani hatamu itakuwa imeshashikwa. Laiti ningejua ulipo, nxt move ingekuwa hapo!Hivi Moshi,Arusha hakuna vyuo? mbona kwenye kumbukumbu zangu sijawahi kusikia Mbowe au Slaa akishirikisha vyuo vya huu ukanda katika siasa na maandamano?
katiba ipi? Ya chadema au ya tanzania?
Huo ulinzi unasimamiwa na nani! Ni PolisiCHADEMA au Red Brigade?
Mwanza wameisha wapuuza Chaema, Mbowe kaamua kufanya mkutano wa ndani kama send off.
Wakifanya mikutano Arusha, Kilimanjaro mnasema mbona kila siku Arusha na Moshi...Hivi Moshi,Arusha hakuna vyuo? mbona kwenye kumbukumbu zangu sijawahi kusikia Mbowe au Slaa akishirikisha vyuo vya huu ukanda katika siasa na maandamano?
mwanza wameisha wapuuza chaema, mbowe kaamua kufanya mkutano wa ndani kama send off.
Hapo maccm yanagonga yanarudi... Yanamwogopa kamanda mbowe haooo