kilele pori
JF-Expert Member
- Aug 6, 2013
- 232
- 30
Mbowe ni mkweli haya maneno alishatueleza pale African Dream Dodoma kwenye kujenga chama kwa wanazuoni kanda ya kati 2011.
Kamanda unafananisha Obama na Mbowe mkuu ni sawa sawa kufananisha Real Madrid na Katavi Rukwa
Mbowe ni mkweli haya maneno alishatueleza pale African Dream Dodoma kwenye kujenga chama kwa wanazuoni kanda ya kati 2011.
kama unaamini wewe ni safi ulinzi wa nini tena ,Zittoooooo oyeeeeeee
Mbowe atakuwa amewaaliak wanachadema CHUMBANI tu. wale wa sebuleni hawataingia