FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,894
- 109,227
Hivi wewe umeambiwa mikataba ni business plan?
Hivi hizi shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
Hivi wewe umeambiwa mikataba ni business plan?
CCM wanaongoza hii nchi nzima na hao wote uliowataja, pamoja na wewe na baba'ko na chama chako. Kumbuka hilo.
Sasa kama hauja soma mkataba wowote ule ukajua kilichomo ndani kwa nini sasa una sifia? Wewe mama akili hauna unasifia mambo ya kijinga kisa huyo mkwe.re ni muumini mwenzetu? Nenda shule achana na madrasa hizo ebo.Funguwa akili yak iliyo finyu. Hakuna mkataba wa kibiashara hususan kubwa zenye ushindani wa Kimataifa ukawekewa wewe wazi uisome.
Hivi hizi shule huwa mnaenda kufundishwa ujinga?
Tupewe Mrejesho kwanza wa harambee zilizopita!
Sasa kama hauja soma mkataba wowote ule ukajua kilichomo ndani kwa nini sasa una sifia? Wewe mama akili hauna unasifia mambo ya kijinga kisa huyo mkwe.re ni muumini mwenzetu? Nenda shule achana na madrasa hizo ebo.
Ewe punguani, uliousoma wewe ukauponda uko wapi? unaongelea hewa?
Rais Dkt. Jakaya Kikwete akiangalia ramani ya Tanzania inayoonyesha mchoro wa reli ya Kati inayotarajiwa kujengwa upya na kwa viwango vya kisasa wakati alipokutana na uongozi wa juu wa makampuni ya China yakiongozwa na China Railway Group Ltd. Makampuni mengine ni SINOSURE, Exim Bank, China Development Bank na China Agriculture Development Bank. Rais Dkt. Kikwete yuko nchini China kwa ziara rasmi ya kikazi (State Visit).Kichwa hicho kazini. Kama unaweza panda juu nenda ukazibe.
Hasid mkubwa wee.
Ha ha ha mi nilijua mtu akivaa hijabu anakua na heshima kumbe ni tofauti kabisa,hauna tofauti na aunt ezekiel wewe.
Bora AUNT EZEKIEL kuliko JOYCE MUKYA...aliyezaaa na FREEMAN MBOWE ilhali akijua ni mme wa mtu.
operesheni ya kuwachangia wachanga kweli wajinga mhe
Kama wakitangaza pungufu ya milion 500 basi ujue tayari mbowe na lema wameshapiga mpunga wa kufa mtu. Hapa tu jf kulikojaa majobless kuna watu walikua wana-comment kuwa wamechanga laki 3.
Usikute huyu naye ni msomi ambaye amekaa na kusota chuo miaka 4 au 5 alafu angalieni anachoandika. Daah inasikitisha sana! Ni kheri kuishia darasa la saba kama Shyland lakini ukawa mtu mwenye hekima na busara
Bora AUNT EZEKIEL kuliko JOYCE MUKYA...aliyezaaa na FREEMAN MBOWE ilhali akijua ni mme wa mtu.