Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

Mamaaaa Tanesco washakatiza uhondo wamekata umeme dah
 
Hujui unacho kinena, inakuaje Mbowe akikopeshe chama afu walalahoi ndo wachangie? Mpaka hapo bado hamshtuki tu...!! Inaonekana file win32 system ime-corrupt kwenye mind zenu inabidi mfanyiwe formatting

Kakopesha kumbe sasa inatakiwa arudishiwe, dawa deni kulipa.
 
Hujui unacho kinena, inakuaje Mbowe akikopeshe chama afu walalahoi ndo wachangie? Mpaka hapo bado hamshtuki tu...!! Inaonekana file win32 system ime-corrupt kwenye mind zenu inabidi mfanyiwe formatting


Kuhusu mapambano ya kuchafuana kwenye mitandao ya kijamii:
Tutahakikisha tuko busy kupost mambo mema na mazuri yatakayokuwa yakifanywa na MM kila wakati na kuzidi kusambaza sifa zake njema kila inapotokea nafasi. Atakayefanya kazi hiyo ni sisi wengine wala si yeye! Pia tutahakikisha kila post ya kumchafua inapatiwa majibu bila kutumia ID yake inayojulikana.
Ni vema aidha akatupatia majibu na sisi kuyapost ama afungue ID mpya kabisa ambazo hazijawahi kuwepo kwenye mitandao halafu ndo awe anazitumia kujibu lakini kwa kuzingatia tuliyokwishayazungumza hapo juu yaani kutofanya kwa emotion na kuepuka jazba lakini pia kushauriana na watu wa karibu kabla ya kutoa majibu kwa jambo lolote linalomhusu.

My take: Kwa hiyo hapo najibiwa na mmoja wa wasaliti wakuu watatu.
 
Mmiliki wa ITV ni kabila gani??

Hivi hela zote chadema wanazokusanya wanapeleka wapi???

Wanachadema fungukeni sasa,,mna haki ya kudai ripoti za mapato na matumizi.

Tuache kuburuzwa makamanda.


Asante kwa kutimiza maagizo ya Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo
Tutahakikisha tuko busy kupost mambo mema na mazuri yatakayokuwa yakifanywa na MM kila wakati na kuzidi kusambaza sifa zake njema kila inapotokea nafasi. Atakayefanya kazi hiyo ni sisi wengine wala si yeye! Pia tutahakikisha kila post ya kumchafua inapatiwa majibu bila kutumia ID yake inayojulikana. Ni vema aidha akatupatia majibu na sisi kuyapost ama afungue ID mpya kabisa ambazo hazijawahi kuwepo kwenye mitandao halafu ndo awe anazitumia kujibu lakini kwa kuzingatia tuliyokwishayazungumza hapo juu yaani kutofanya kwa emotion na kuepuka jazba lakini pia kushauriana na watu wa karibu kabla ya kutoa majibu kwa jambo lolote linalomhusu.
 
Likiwa limebaki saa moja watanzania washuudie jambo la kihistori live kupitia ITV sio jambo jingine ila ni harambee ya CHADEMA itakayofanyika leo tarehe 31/10/2014 katika ukumbi wa Serena Hotel na kurushwa live kwa saa 2
Kuna aina flani ya kihujuma kimepangwa na Tanesco chini ya usimamizi wa ccm kuhakikisha watanzania hawashuudie jambo hili kwa wingi!
Mimi binafsi nipo maeneo ya mwenge lakini umeme umekatwa turipoti hapa kwa pamoja tuweze kujuwa kama hujuma hii imefanikiwa au la chakufanya wewe weka ushauri wako hapa kwa tanesco na serekali yao ya ccm then tujuze kuhusu huko ulipo kama wamehujumu kwa kukata umeme au unashuudia jambo hili jema kwa taifa letu!.
 
Hivi umeme unavyokatika kila siku maeneo tofauti ya Tanzania ni kuhujumu Chadema, mimi nipo Karatu umeme upo na ninasubiri kuangalia harambee ya Chadema.
 
Acha utoto wewe Mimi niko mkoa Fulani na Umeme hupo! Kwanza hiyo harambee ni utapeli mtupu ndani ya chadema!
 
Ccm itaondoka kama serikali ya Burkina Faso ilivyoondolewa kwa nguvu ya Umma.
 
Umeme ukikatwa ni hujuma mbona mikutano ya jangwani umeme huwa haukatwi? Kuwa muungwana
 
Acha uongo nimekuona leo ubena somoz ukicheza dhumna
Hivi umeme unavyokatika kila siku maeneo tofauti ya Tanzania ni kuhujumu Chadema, mimi nipo Karatu umeme upo na ninasubiri kuangalia harambee ya Chadema.
 
Huku Lindi tunahamu ya kuichangia Chadema maabara ni kazi ya serikali ila tunaongezea nguvu.

Vuta subira mkuu utachangia tu ila omba mungu tanesco wasishinikizwi na lumbumba kutunyima fursa hii ya kihistoria
 
Back
Top Bottom