Mandla Jr.
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 3,098
- 631
Mmiliki wa ITV ni kabila gani??
Kazi ya CCM... kanga, fulana, vilemba, pombe ya kienyeji, wali maharage na nyimbo za komba...Na bibi yako kule kijijini usimsahau japo kwa nusu kilo ya sukari na kipande cha kanga!
Na mmiliki wa TBCccm ni wa dini gani?Mmiliki wa ITV ni kabila gani??
Marejesho ya michango iliyopita ya M4C mbona wanachama hawajafahamishwa au ukihoji unaitwa msaliti na unafukuzwa,
Watanzania hatuulizani makabila-Nyerere.Wewe ni kabila gani
Marejesho ya michango iliyopita ya M4C mbona wanachama hawajafahamishwa au ukihoji unaitwa msaliti na unafukuzwa,
Kutakuwa na harambee ya CHADEMA itakayofanyika kesho tarehe 31/10/2014 katika ukimbu wa Serena Hotel na kurushwa live na ITV kuanzia saa 3 usiku mpaka 5 usiku.
Katika harambee hiyo,CHADEMA watazindua matumizi ya teknolojia katika siasa.
CHANZO:ITV
Tahadhari:TANESCO msitukatie umeme kwa kisingizio chochote kile.
Kutakuwa na harambee ya CHADEMA itakayofanyika kesho tarehe 31/10/2014 katika ukimbu wa Serena Hotel na kurushwa live na ITV kuanzia saa 3 usiku mpaka 5 usiku.
Katika harambee hiyo,CHADEMA watazindua matumizi ya teknolojia katika siasa.
CHANZO:ITV
Tahadhari:TANESCO msitukatie umeme kwa kisingizio chochote kile.
Hivi labda ndio nimeamua kuipa cdm jengo langu kubwa lililo katikati ya jiji , nakujaje hapo serena , nije na hati ya jengo au nije na funguo za geti la mbele ?Kutakuwa na harambee ya CHADEMA itakayofanyika kesho tarehe 31/10/2014 katika ukimbu wa Serena Hotel na kurushwa live na ITV kuanzia saa 3 usiku mpaka 5 usiku.
Katika harambee hiyo,CHADEMA watazindua matumizi ya teknolojia katika siasa.
CHANZO:ITV
Tahadhari:TANESCO msitukatie umeme kwa kisingizio chochote kile.
habari ya mujini si ni ukawa, chadema inatokea wapi tena? au chadema ndio ukawa na ukawa ni chadema?
Sasa wale wafuasi wa Chadema ambao hawana namba ya simu ya Mbowe watapaje taarifa.
Hivi labda ndio nimeamua kuipa cdm jengo langu kubwa lililo katikati ya jiji , nakujaje hapo serena , nije na hati ya jengo au nije na funguo za geti la mbele ?
Marejesho ya michango iliyopita ya M4C mbona wanachama hawajafahamishwa au ukihoji unaitwa msaliti na unafukuzwa,
Pusi wamejaa MSALANI, wanajimaliza wenyewe!