Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,550
- 1,166
hahahaha hili nalo neno lakini erick yuko vizuriii
Last edited by a moderator:
Heheheheeee St. Paka Mweusi unanichekesha sana aisee lolVumilia tu nimeshakwambia utawazoea tu,nipo na wewe usiogope
Hahahahaaa yapi hayo Nicas Mtei ?Kuna matukio hujayasema.
Umeonaeeeh?
Kumbe kuna St. Paka Mweupe? Halafu PakaJimmy. Duh! Manyau mpo wengi sana.
Kabakabana acha kusikiliza fitina za babuhahahaha hili nalo neno lakini erick yuko vizuriii
Heheheheeee St. Paka Mweusi unanichekesha sana aisee lol
We si paka ? Kwani paka anaheshimika? Heheheeee halafu mgeni gani anajua watu anajua mention anahama majukwaa kwa spid hivi?
Heheheheee St. Paka Mweupe umetisha meeeen
Kabakabana acha kusikiliza fitina za babu
Ila leo inabidi tukale birthday yako ili tuone mengine tena
Hahahahaaa yapi hayo Nicas Mtei ?
Vumilia tu nimeshakwambia utawazoea tu,nipo na wewe usiogope
Ooo...mamaa!
Erickb52 unanitisha meeeen
Nawewe unaanza kunigeuka Kabakabana ?Ndioooo chezea erick weye?