Naanza kufunga kesho, Mkuu pastor, na kuanzia kesho siangalii tena bunge mpaka umalizike mwezi mtukufu wa Ramadhani, nachelea kupoteza saumu yangu kwa kuangalia yalioharamishwa kuonwaMleta mada itakuwa swa.umu imepanda kichwani siyo makosa yake
Nime "think small" hujaelewa, akili zimesambaratika, niki-think big, sio maji utaita Mma!
Katika imani ya kiislamu adhabu anayopewa mlevi ni nyepesi mno ukilinganisha na adhabu ya wazinifu! wabaki ndani au nje!wabunge majipu wamebaki ndani,wale welevu wametoka nje
Hahaaa kweli kabisa hapa JF wapo wachangiaji hewa kama huyu!anglia unaweza kuta na wewe ni mtoto hewa
Tayari zimeshasambaratika, nilikwambia!Utajiju!
Tayari zimeshasambaratika, nilikwambia!
Huyo ni Lumumba buku 7 hapa yuko kaziniIs this guy a great thinker?
anaeshinda baa walishamfukuza kazi wwWaganga njaa aka wabunge matumbo wametoka nje ya ukumbi wa bunge wanakwenda kukaa baar kusogoa.
Wewe muongo wewe hujaona kituHata mimi nimeona. Kwa kweli ni fedheha sana kitendo walichokifanya. Inaweza ikaleta picha mbaya sana kwa jamii
yaan hawaelewag hata kinachoendelea wao husubiri mwsho wa taarifa waitikie ndiooooHili bunge limekosa mvuto. Mkishakuwa ni wa upande mmoja mnabaki kusema ndiyooooooo.
Ngoma droo.wabunge vilaza wamebaki bungeni
ndo hapo utambue kuwa mwenyekiti wako alifanya maamuzi ya kukurupuka,na ccm nao wanafanya kusudi kumuweka kila siku NS.................tusubiri movie iendelee na mkae mjue ccm hawashindwi kuiacha hii movie iendelee hivihivi kama ilivyo,mpaka ukawa mrudi nyuma...............hakuna namna mbinu mbadala ukawa inabidi mtafuteDuh...Tumefikia huku.?
Kwa raha zao mkuuWaganga njaa aka wabunge matumbo wametoka nje ya ukumbi wa bunge wanakwenda kukaa baar kusogoa.
Labda walitanua midomo kwa kupiga miayo...maana huwa wanapga sana mbonji!!Weka picha .. I mean picha ya maneno elezea vizuri wamejitanuaje? Wameacha sukari wazi wazi nje nje au?