Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 5,009
- 9,208
Hata mimi nimeona. Kwa kweli ni fedheha sana kitendo walichokifanya. Inaweza ikaleta picha mbaya sana kwa jamii
Leo mpaka wakupe Nchi Ndo usemeLeo asubuhi kipindi cha maswali " live" kiliisha saa nne na dakika thelathini na sita.Na nimeangalia kupitia Azama TV (TWO)
Mkuu ebu tujuzeDuh...Tumefikia huku.?
Hata mimi nimeona. Kwa kweli ni fedheha sana kitendo walichokifanya. Inaweza ikaleta picha mbaya sana kwa jamii
Ha ha haWeka picha .. I mean picha ya maneno elezea vizuri wamejitanuaje? Wameacha sukari wazi wazi nje nje au?
YouTube naweza kuipata hiyo clip bila shaka, msisahau kuwa kazi na dawaHata mimi nimeona. Kwa kweli ni fedheha sana kitendo walichokifanya. Inaweza ikaleta picha mbaya sana kwa jamii
Hata mimi nimejitahidi sana kutafakari kupitia serikali yangu ya ubongo lakini pia sijamuelewa kabisaaaa..."nimeliona tukio kwa hofu ya kukiuka sheria ya mtandao" nimetoa wakati lilipotokea, kama moderators wataona hilo halikalifu sheria, hapo ndipo hoja ya kusema hujaeleweka linasimama
Kwa vile sio wa Chama chake ni sahihi? Saa ingine mnatafutie wenzenu Ban za bure!.......@%£#*&%&&**Ch#@*****&&&upi........@%%££#wangekuwa wa chama chako ungekuja na umbea huu??
Wewe sasa unavyoendelea kucomment ujue unabore,Leo asubuhi kipindi cha maswali " live" kiliisha saa nne na dakika thelathini na sita.Na nimeangalia kupitia Azama TV (TWO)
"hovyohovyo" wakati Lewinsky na Clinton walipo umbuliwa kule USA, "wazungu wafanya utafiti na ubunifu mbali mbali" walikwenda likizo? au walioyazua hayo walikuwa waswahili?Think positive!
Naona JF haijakusaidia.
Unawezaje kufanya utafiti wakati wanaokupangia sera, pesa na namna ya kufanya utafiti wanafanya hayo unayoyaita ya hovyo hovyo?
Nime "think small" hujaelewa, akili zimesambaratika, niki-think big, sio maji utaita Mma!think big