Yaliyojiri bungeni Dodoma leo tarehe 06/06/2016

Yaliyojiri bungeni Dodoma leo tarehe 06/06/2016

Live wanaonesha kuanzia saa tatu hadi saa nne. We hiyo saa nne na nusu umeona kupitia wapi?
 
Katika kikao cha leo asubuhi bungeni, katika kipindi kiliobakia kurushwa " live" nimeliona tukio kwa hofu ya kukiuka sheria ya mtandao, naomba wana bodi, moderators wanisaidie.

Katika majira kati ya saa nne na dakika thelathini mpaka na dakika thelathini na sita ( 10:30-10:36) Wabunge wawili wa chama tawala wa jinsia tofauti walipojitanua. Sasa sijui niliangalia kwa makengeza au sawa, naomba nisaidieni.

Ikiwa nilichokiona ni sahihi, basi kitendawili cha siri ya bunge kukataa kuoneshwa " live" kimeteguliwa
Hebu elezea vizuri walikuwa wanatanua nini ndani ya bunge?
 
sema nini kimetokea, bila kutaja jina . hujaeleweka
"nimeliona tukio kwa hofu ya kukiuka sheria ya mtandao" nimetoa wakati lilipotokea, kama moderators wataona hilo halikalifu sheria, hapo ndipo hoja ya kusema hujaeleweka linasimama
 
Katika kikao cha leo asubuhi bungeni, katika kipindi kiliobakia kurushwa " live" nimeliona tukio kwa hofu ya kukiuka sheria ya mtandao, naomba wana bodi, moderators wanisaidie.

Katika majira kati ya saa nne na dakika thelathini mpaka na dakika thelathini na sita ( 10:30-10:36) Wabunge wawili wa chama tawala wa jinsia tofauti walipojitanua. Sasa sijui niliangalia kwa makengeza au sawa, naomba nisaidieni.

Ikiwa nilichokiona ni sahihi, basi kitendawili cha siri ya bunge kukataa kuoneshwa " live" kimeteguliwa

Wakati Wazungu wakihangaika kila kukicha kufanya TAFITI mbalimbali na UBUNIFU unaoendana na kasi ya dunia kwa sasa sisi Watanzania tunahangaika kuzungumzia " utupu " wa Watu na kufanya ndiyo kipaumbele chetu. Sijui Kwanini Nyerere aliwafukuza Wazungu ( Wakoloni ) kwani labda wangeendelea kuwepo / kubaki wengi wetu tusingekuwa tuna fikra za " hovyo hovyo " hivi.
 
Live wanaonesha kuanzia saa tatu hadi saa nne. We hiyo saa nne na nusu umeona kupitia wapi?
Leo asubuhi kipindi cha maswali " live" kiliisha saa nne na dakika thelathini na sita.Na nimeangalia kupitia Azama TV (TWO)
 
"nimeliona tukio kwa hofu ya kukiuka sheria ya mtandao" nimetoa wakati lilipotokea, kama moderators wataona hilo halikalifu sheria, hapo ndipo hoja ya kusema hujaeleweka linasimama
We weka bana sio kosa
 
Wakati Wazungu wakihangaika kila kukicha kufanya TAFITI mbalimbali na UBUNIFU unaoendana na kasi ya dunia kwa sasa sisi Watanzania tunahangaika kuzungumzia " utupu " wa Watu na kufanya ndiyo kipaumbele chetu. Sijui Kwanini Nyerere aliwafukuza Wazungu ( Wakoloni ) kwani labda wangeendelea kuwepo / kubaki wengi wetu tusingekuwa tuna fikra za " hovyo hovyo " hivi.

mkuu unaonekana kujua kilichotokea, nani alikuwa tupu mkuu???
 
posho zmepungua sana na biashara ni matangazo
 
Mkuu weka mambo sawa! Kama walikuwa wanafanya mambo ya usiku weka waz
 
Wakati Wazungu wakihangaika kila kukicha kufanya TAFITI mbalimbali na UBUNIFU unaoendana na kasi ya dunia kwa sasa sisi Watanzania tunahangaika kuzungumzia " utupu " wa Watu na kufanya ndiyo kipaumbele chetu. Sijui Kwanini Nyerere aliwafukuza Wazungu ( Wakoloni ) kwani labda wangeendelea kuwepo / kubaki wengi wetu tusingekuwa tuna fikra za " hovyo hovyo " hivi.
"hovyohovyo" wakati Lewinsky na Clinton walipo umbuliwa kule USA, "wazungu wafanya utafiti na ubunifu mbali mbali" walikwenda likizo? au walioyazua hayo walikuwa waswahili?Think positive!
 
"hovyohovyo" wakati Lewinsky na Clinton walipo umbuliwa kule USA, "wazungu wafanya utafiti na ubunifu mbali mbali" walikwenda likizo? au walioyazua hayo walikuwa waswahili?Think positive!
Kwa hiyo hai wabunge walikuwa wakifanya mambo ya kina Bill na Monica?
 
Wakati Wazungu wakihangaika kila kukicha kufanya TAFITI mbalimbali na UBUNIFU unaoendana na kasi ya dunia kwa sasa sisi Watanzania tunahangaika kuzungumzia " utupu " wa Watu na kufanya ndiyo kipaumbele chetu. Sijui Kwanini Nyerere aliwafukuza Wazungu ( Wakoloni ) kwani labda wangeendelea kuwepo / kubaki wengi wetu tusingekuwa tuna fikra za " hovyo hovyo " hivi.
Naona JF haijakusaidia.
Unawezaje kufanya utafiti wakati wanaokupangia sera, pesa na namna ya kufanya utafiti wanafanya hayo unayoyaita ya hovyo hovyo?
 
Wasi wasi wangu mkubwa juu ya ubora wa mijadala bungeni ni hali ile ya akina Kitwanga. Taarifa kwamba wengi wanakuja bungeni na kuzungumza under the influence of narcotics or alcohol.
 
Live wanaonesha kuanzia saa tatu hadi saa nne. We hiyo saa nne na nusu umeona kupitia wapi?
Leo walipitiliza, hili ninamsaidia lakini sikuwa makini na kinachoendelea maana hawana jipya
 
Back
Top Bottom