Yaliojiri jana na yatakayojiri leo kumuaaga Tata Nelson Rolihlahla Mandela

Rais wa palestine ndani ya stadium.
Nasikia netanyau kasema haji hana hela usafiri.
 
list yote hiyo nimeona ma-dr wapo 3 na prof 1 wote kutoka africa.
hii ni poverty africa mtu akisoma anatafuta heshima kwani hizo kazi hazina kitu. Lakini pia wenye mawazo ya ukombozi wanafanyiwa kitu mbaya mfano dr. Masao aliyefanyiwa ndo maana watu wanataka madaraka ili wawe na control na scarce resource. Ingawa this is the most inefficient method ya kutumia hii scarce human resource. Lakini vilevile nina mashaka na ma-dr toka africa kama dr. J.kikwete -credibility ya doctorate yake is still questionable katika academic world
 
Jongwe naye anatia timu. Kudadeki.

Naona ili kuepusha shari wakaamua kutokumpa fursa ya kuongea maana hakawii kuanza kumchana David Cameron na Tony Blair
 
Sidhani kama ni kweli maana kulikua na taarifa kwamba Uhuru hatahudhudhuria but Uhuru kafika tena na kiburudisho chake
Rais wa palestine ndani ya stadium.
Nasikia netanyau kasema haji hana hela usafiri.
 
Sijui Obama atatinga na beast lake....maana Wamarekani hawamwamini mtu ikija kwenye usalama wa rais wao.

Halafu hiyo mvua inaweza ikasababisha uwanja usijae.

Beast One si ni lile basi kaka?

Limo one.
 
Robert ndio huyooo katia timu saa sijui kapangiwa kukaa na nani
 
Sidhani kama ni kweli maana kulikua na taarifa kwamba Uhuru hatahudhudhuria but Uhuru kafika tena na kiburudisho chake

Netanyahu amekosa approval ya dollar million 2 for plane and security.
 
Presidaaa Kabila nae ndio katia timu, hivi huyu aleinae ni kiburudisho chake? jamani hadi msibani watu wanaenda na viburudisho
 
Washaanza kuimba wimbo wa taifa. Kuna viti vingi tu bado viko tupu.

Obama na Cameron bado sijawaona. Clinton bado kuonekana.

Iweje rais wa nchi afike kabla ya wageni? Itifaki imezingatiwa kweli?
 
Wimbo wa Taifa sasa unaimbwa ila bado akina Obama hawaonekani hapa
 
Back
Top Bottom