Yaliojiri jana na yatakayojiri leo kumuaaga Tata Nelson Rolihlahla Mandela

desmund tutu anawachana kwa ukosefu wao wa displin..bila kupindisha maneno..kwa kweli wameonyesha ujuha wa hali ya juu wasauz leo.
 
how about Mugabe?
heros are made ndivo wazungu wanavomtangaza zaidi kuliko sisi waafrika wenyewe
Kinachomfanya awe hero ni nini? kuwasamehe wazungu kwa kumfunga na kumtesa?
au kupinga ubaguzi dhana ambayo ilianzishwa na chama chake?
his release was because watu walipigana sana atoke ndani na nchi haikuwa na amani vurugu kila kona...Tafuta video ya jinsi mandela alivotumika kwa maslahi ya wazungu.....
to me Mugabe is a true African Hero and not Mandela
inashangaza kusikia wazungu wanatuambia hakuna kiongozi kama mandela why?
Thats not true at all.
Ni onyo gani mandela ameshawapa wazungu> ni wapi umemsikia akiwakemea kwa nguvu makaburu zaidi ya kutaka ubaguzi uishe?? hayo ni maoni yangu ...Tusikaririshwe Mandela is a herio,tuhoji zaidi ya hapo

Naomba nikushauri jambo moja. madiba alifanya yake kulingana na wakati wake na mugabe amefanya yake kwa wakati wake.
Madiba alifanya jambo moja kubwa kwa ajili ya kuleta usawa na maendelei ya nchi yake. Nalo ni kuwaunganisha wananchi wake kutoka katika hali ya kubaguana kuwafanya kuwa wamoja. Na hili ni jambo lililokuwa kubwa na muhimu na asingelifanya hilo basi basi Afika ya kusini unayo iona leo isingalikuwa hivi. kungekuwa na kubaguana kwa misingi ya weusi walio wengi kuwabagua wazungu walio wachache. kwa hiyo hatua aliyochukuwa ya kuunda tume ya maridhiano ilikuwa ni hatua kubwa sana na iliyoleta tija kubwa sana kwa taifa zima.
Mugabe naye amefanya kuleta usawa wa umiliki wa ardhi ya taifa la zimbabwe. Ardhi ilikuwa ni tatizo kubwa sana nchini kwake kwa kuwa asilimia 75 ya ardhi iliyo bora na inayofaa kwa kilimo ilikuwa inamilikiwa na wazungu, hivyo kuwafanya wazawa kukosa maeneo ya kilimo na kutegemea kunua chakula kutoka kwa wakulima wa kizungu ambao walikuwa wakipandisha bei ya wanapojisikia tu. Nakumbuka kilawakati kulikuwa na maandamano ya kupinga kupanda kwa bei ya unga (hasa hasa unga wa ngano). lakini tangu mugabe ataifishe mashamba ya wazungu sijasikia tena.


kwa hiyo mandela ma mugabe kila mmoja wao alitenda lililo bora kwa wakati wake na jambo lake. na usitegemaa wazungu wakamsifia mugabe kwa sababu aligusa interest zao kama marehemu Hugo Chaves alivyo watesa ka kupandisha mrahaba by 35%. nakumbuka marekani, uingereza na ufaransa walitoa vitisho vyote lakini mwisho wa siku walinywea na kukubali masharti.

ni hayo tu mkuu.
 
Mkuu asante kwa taarifa. Hata hivyo isingewezekana kuwa na marais wengi wasemaji. Ni vema tukubaliane na ratiba yao.
 
bahati mbaya sijaona hiyo sehemu,,,
obama kamshika mkono kama alivoshika viongozi wengine?

nazani ni rahisi kwa ngamia kupenya kwenye Tundu la sindano kuliko kwa kiongozi yeyeto wa nchi za magharibi kushikana mkono na Mgabe
 
Back
Top Bottom