Nelsweeter
Senior Member
- Feb 17, 2012
- 141
- 68
Kazi kwelikweli pole!
Mpwa ni kwamba baada ya hapo sijarudia tena na wala sitarudia tena. Hapo kwenye list kuna na camera yangu ndogo digitali ilibebwa. Kuanzia siku iyo nawaogopa kuliko hatari yoyote duniani, huwa nikizunguka usiku na kuwaona kaka na wadogo zangu wakipatana bei na hao wafanyabiashara nawaonea huruma kweli, kuwakataza pia hawakuelewi, akiwa ndugu yangu wa karibu kwakweli namkataza instantly aachane ni iyo habari. Afadhali ya mimi kuna wengine wao wanapoteza zaidi ya hapoMdau siku nyingine kuwa mjanja,wenzio siku hizi wanakula mpango na watu wa reception,unachukua namba yake ya simu halafu unamwambia nikiingia na totoooz tu wewe bana mlango kwa nje then nitakupigia simu majogoo nikiamka uje ufungue.Siku hizi wazoefu hawalali na funguo za guest ndani kaka!!!!
rule number one,hakikisha baada ya game unamtimua zake haijalishi ni saa ngapi.
Rule number two,ukiona kuna umuhimu wa kulala naye mpaka asubuhi weka valuables zako counter na kwenye pochi bakiza ujira wake tu ili hata akiiba awe ameiba alichostahili kulipwa.
Kumbukeni maisha yao ni magumu halafu wewe unamuringishia mali zote hizo,lazima azibebe.
wenzako hotel ya kufikia inakua kama nyumbani, malaya hakanyagi. Ukichukua malaya unapeleka huko kunakofanana nae, ukimaliza unarudi nyumbani!
Hv babu ambikile amerudi kazini?
mara nyingine kabla hajaingia chumbani unawahi then wallet pamoja na vijisenti unavifunga na ruber band kwenye feni then unaiwasha namba tano full speed...