mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,664
- 18,039
Mkuu umesahau ndege yetu iliyozuiliwa Canada.....Waziri Mkuu alienda lakini karudi kinyemela sasa hivi anapamba na "bodi ya korosho" na semi-trailer zilizopo bandarini.Wakuu naomba kuulizia yale mamilioni ya dola yaliyoahidiwa na Barrick ya kuonesha nia njema kwenye mazungumzo ya makinikia yamefikia wapi? Maana tunataka kusahaulishwa as if haikutamkwa hadharani! Au ni changa la macho? Au tumepigwa ahadi hewa? Hii itakuwa aibu sana maana mkuu aliisisitizia kuwa isicheleweshwe!
Ulitaka hayo mabilioni yawekwe kwenye akaunti yako?Wakuu naomba kuulizia yale mamilioni ya dola yaliyoahidiwa na Barrick ya kuonesha nia njema kwenye mazungumzo ya makinikia yamefikia wapi? Maana tunataka kusahaulishwa as if haikutamkwa hadharani! Au ni changa la macho? Au tumepigwa ahadi hewa? Hii itakuwa aibu sana maana mkuu aliisisitizia kuwa isicheleweshwe!
kama ulitaka taarifa kamili ungeuliza sehemu inayostahili. Kwani wadau wa JF ndo walikuahidi? kamuulize aliyesema. Huo ni unafiki na umbeya. We si mtoto wa kiume? sa mbona unakuwa na unafiki wa kike?Wakuu naomba kuulizia yale mamilioni ya dola yaliyoahidiwa na Barrick ya kuonesha nia njema kwenye mazungumzo ya makinikia yamefikia wapi? Maana tunataka kusahaulishwa as if haikutamkwa hadharani! Au ni changa la macho? Au tumepigwa ahadi hewa? Hii itakuwa aibu sana maana mkuu aliisisitizia kuwa isicheleweshwe!
Wew ni mchochezi na si mzarendo hata kidogo badilik Kuwa mzarendo wa ukweliWakuu naomba kuulizia yale mamilioni ya dola yaliyoahidiwa na Barrick ya kuonesha nia njema kwenye mazungumzo ya makinikia yamefikia wapi? Maana tunataka kusahaulishwa as if haikutamkwa hadharani! Au ni changa la macho? Au tumepigwa ahadi hewa? Hii itakuwa aibu sana maana mkuu aliisisitizia kuwa isicheleweshwe!
kwa kweli karudi kimya kimya sana hahahaMkuu umesahau ndege yetu iliyozuiliwa Canada.....Waziri Mkuu alienda lakini karudi kinyemela sasa hivi anapamba na "bodi ya korosho" na semi-trailer zilizopo bandarini.
Tulitangaziwa hadharani kuwa yanakuja tuna haki ya kuhoji kama yamekuja! Kama ni siri kwa nini walitutangazia hadharani! Kama mliingizwa mkenge kwenye mazungumzo msione haya kusema! Kuna dalili zote za kuingizwa mjini hapa!Ulitaka hayo mabilioni yawekwe kwenye akaunti yako?
Hii ni social media kwa taarifa yako! Kila mmoja hupita hapa wakiwemo washiriki wa mazungumzo ya makinikia! Na hayo mamilioni ya nia njema yalianikwa hapa pia!kama ulitaka taarifa kamili ungeuliza sehemu inayostahili. Kwani wadau wa JF ndo walikuahidi? kamuulize aliyesema. Huo ni unafiki na umbeya. We si mtoto wa kiume? sa mbona unakuwa na unafiki wa kike?