choupa moting
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 1,508
- 2,554
Wadau habarini za usiku. Kwa siku za karibuni kumekuwa kukitokea matukio mengi sana ambayo kwa namna moja au nyingne huitingisha serikali au kuikomaza zaidi.
Takribani miezi kadhaa iliyopita wakati mkuu wa nchi yetu akiwa pale bandarini ktk ziara za kushtukiza alikutana na magari ya kifahari yakiwa yameingizwa kwa njia ya kiuhujumu bila kulipia ushuru.
Ni magari mazuri ambayo nilitamani walau nimjue mwenyew maana nadhani ni miongoni mwa mafisadi wanaotufanya Tanzania tukose dawa, elimu ya uhakika, umeme, maji na mengne mengi.
Sasa hoja yangu ni je yale magari yaliishia wapi na mmiliki wake ni nani?
Nawasilisha.
Takribani miezi kadhaa iliyopita wakati mkuu wa nchi yetu akiwa pale bandarini ktk ziara za kushtukiza alikutana na magari ya kifahari yakiwa yameingizwa kwa njia ya kiuhujumu bila kulipia ushuru.
Ni magari mazuri ambayo nilitamani walau nimjue mwenyew maana nadhani ni miongoni mwa mafisadi wanaotufanya Tanzania tukose dawa, elimu ya uhakika, umeme, maji na mengne mengi.
Sasa hoja yangu ni je yale magari yaliishia wapi na mmiliki wake ni nani?
Nawasilisha.