Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
magari ambayo Makonda anamiliki ambayo hayaendani na mshahara wake ukiondoa V8 ambayo Ni serikali, hizi zingine amezitoa wapi Bei ya hili gari Bei yake Ni shilling 14632940 millions ana Range Rover sport ambayo Bei yake Ni shilling million 234 na ushe ana BMW6 Bei yake Ni shilling million 178 ana vx v8 ambayo Bei Nimillion 186 pia anajenga hotel ya kifahari mwanza hizi pesa za kununua haya magari na kujenga hiyo hotel ametoa wapi na mshahara wake Ni 4 million kwa mwezi atafanya kazi muda gani ndio aweze kununua aina ya hizo gari na kujenga hiyo hotel Kama sio wizi hapa halafu wanakuja vijana kutetea wizi hamjuwi kuwa wizi na rushwa vinadumaza taifa na nchi kwa ujumla ikiwemo kukosa elimu Bora ikiwemo kukosa huduma za kiafya pamoja na huduma nzuri za kijamii Bora kwa Watanzania ndugu zangu Watanzania nawaombeni tupige vitendo vya rushwa kwa pamoja
Muhsini K Kwigwa
Sauti ya Watanzania wasiokuwa na sauti
Muhsini K Kwigwa
Sauti ya Watanzania wasiokuwa na sauti