tumekuwa tukiona wakati wa mchakato wa sala zima la kesi za EPA, kulikuwa na mabasi yanayowaleta watuhumiwa, lakini sikuhizi hatuyaoni wadau tusaidiane kujua yalipo kwasababu huu ni unyanyapaaji kwa wafungwa wa hali y chini
tumekuwa tukiona wakati wa mchakato wa sala zima la kesi za EPA, kulikuwa na mabasi yanayowaleta watuhumiwa, lakini sikuhizi hatuyaoni wadau tusaidiane kujua yalipo kwasababu huu ni unyanyapaaji kwa wafungwa wa hali y chini
Ni imani yangu mabasi haya bado yapo kwani mara ya mwisho niliyaona mwezi wa saba mwaka huu yakibeba wafungwa licha yakua sikufaham ni wafungwa wamakosa gani.
tumekuwa tukiona wakati wa mchakato wa sala zima la kesi za EPA, kulikuwa na mabasi yanayowaleta watuhumiwa, lakini sikuhizi hatuyaoni wadau tusaidiane kujua yalipo kwasababu huu ni unyanyapaaji kwa wafungwa wa hali y chini