Yajue maajabu ya chumvi katika utengenezaji wake

Yajue maajabu ya chumvi katika utengenezaji wake

Salt Mining
salt-1.jpg


Andy Satiriou/Photodisc/Getty Images A salt-refining plant near Murcia, Spain
ANDY SATIRIOU/PHOTODISC/GETTY IMAGES
In 2006, more than 200 million tons of salt were produced in the world. China is the largest producer, with 48 million tons, followed closely by the United States, with 46 million tons [source: Salt Institute]. Salt is generally produced one of three ways: deep-shaft mining, solution mining or solar evaporation.

Deep-shaft mining is much like mining for any other mineral. Typically, the salt exists as deposits in ancient underground seabeds, which became buried through tectonic changes over thousands of years. Many salt mines use the "room and pillar" system of mining. Shafts are sunk down to the floor of the mine, and rooms are carefully constructed by drilling, cutting and blasting between the shafts, creating a checkerboard pattern. After the salt is removed and crushed, a conveyor belt hauls it to the surface. Most salt produced this way is used as rock salt.

Source: How Salt Works
 
Jamani huyu jamaa kazungumzia chumvi ya Dar, yawezekana hakujua kumbe kuna Chumvi ya Mikoani
 
Salt Mining
salt-1.jpg


Andy Satiriou/Photodisc/Getty Images A salt-refining plant near Murcia, Spain
ANDY SATIRIOU/PHOTODISC/GETTY IMAGES
In 2006, more than 200 million tons of salt were produced in the world. China is the largest producer, with 48 million tons, followed closely by the United States, with 46 million tons [source: Salt Institute]. Salt is generally produced one of three ways: deep-shaft mining, solution mining or solar evaporation.

Deep-shaft mining is much like mining for any other mineral. Typically, the salt exists as deposits in ancient underground seabeds, which became buried through tectonic changes over thousands of years. Many salt mines use the "room and pillar" system of mining. Shafts are sunk down to the floor of the mine, and rooms are carefully constructed by drilling, cutting and blasting between the shafts, creating a checkerboard pattern. After the salt is removed and crushed, a conveyor belt hauls it to the surface. Most salt produced this way is used as rock salt.

Source: How Salt Works
Thanks, nimepata uelewa mwingine mkubwa zaidi,. Ila pia njia hii ya jua nimeiona hapo. Tupo pamoja.
 
Sio machimbo kama unavyofikiri wewe kwamba kama machimbo ya dhahabu nk. Angalia picha yahuko uvinza, nahayo ndio Makalo niliyoyaongelea, nakote inakozalishwa chumvi kunakuwa namuonekano huo.
View attachment 428336
Kuna aina tofauti za chumvi, na kuna aina tofauti za uvunaji pia aina tofauti za mazingira ya upatikanaji.

Aina ya kwanza ni ile uliyoona, na uvunaji uko kama ulivoona, ila haikolei kwa ajiri ya jua, hapo ulichapia,

Aina ya pili ni majichumvi yasiyoganda ki urahisi kwa jua, yanachotwa maji kama pale, yanawekwa kwenye vyungu maalum yanachemshwa hadi kuganda na kutengeneza chumvi inayokuwa na mabonge mabonge!

Aina ya tatu inatengenezwa pale pale uvinza, ng'ambo ya mto Maragarasi panapoitwa Nyaza, kule ulipoona panaitwa Kwaza.
Ile chumvi ya Nyanza inachimbwa kwenye kisima kirefu, ( kama visima vingine vya maji vya nchi kavu) kisima hicho kipo uvinza chini kidogo ya kona ya barababara ya kwenda Tabora, maji ya kisima kile, licha ya kuwa katikati ya kona ya ardhi ya muunganiko wa mito miwili isiyo na chumvi, yaani Maragarasi na Ruchugi, lakini kina maji ya chumvi ambayo husafirishwa kupitia darajani, chini mito ilikoungania, na kupandishwa kule juu mlimani.

Utengenezaji wa chumvi ya kisima kile, huvutwa kutoka ardhini kwa mashine kisha kusukumwa hadi Nyanza kulikojengwa majiko maalum, kule kuna mabwawa ambayo yana mabomba fulani yanayosafirisha moto chini ya majichumvi baada ya kuchochea moto pembeni walikojenga majiko ( kwa wataalamu wa kukausha tumbaku watanielewa vyema) kisha maji yale Huganda kwa mtindo wa unga unga na hivyo kuchotwa na kusubiri hatua zinazoendelea.
 
Mleta thread hongera sana. Usingeanza jambo hili hata hizo njia zingine tusingezifahamu.

Kwa wale wanaojua zaidi basi ni vema msitangulize dharau juu ya utaalamu wa mwanzisha thread.

Mara nyingi ni rahisi sana kuboresha wazo kuliko kuanza kwa mara ya kwanza.

Lakini pia mwanzisha thread alipoishia ndipo wengine mnatakiwa kuanzia. Hivyo msilaumu bali ongezeeni ujuzi zaidi ili tupate ufahamu unaostahili.
 
Mleta thread hongera sana. Usingeanza jambo hili hata hizo njia zingine tusingezifahamu.

Kwa wale wanaojua zaidi basi ni vema msitangulize dharau juu ya utaalamu wa mwanzisha thread.

Mara nyingi ni rahisi sana kuboresha wazo kuliko kuanza kwa mara ya kwanza.

Lakini pia mwanzisha thread alipoishia ndipo wengine mnatakiwa kuanzia. Hivyo msilaumu bali ongezeeni ujuzi zaidi ili tupate ufahamu unaostahili.
Tungekuwa hivi, tungejifunza mambo mengi sana,. Tuendeleze hapo Ili ambao hawakuwa nauelewa kabisa nao wazidi kupata somo.
 
Siku nyingine muwe mnafanya utalii wa ndani, kwa mfano mtu akiamua kwenda pale akiwa na vitambulisho maalumu vya safari yake hatoi hata mia ya kutalii, atajifunza mambo yote bure! Kwani unadhani sisi tunayajua hayo kwa kuyafanya au kwa kuishi kule?
"Maisha ni kujifunza"
 
Siku nyingine muwe mnafanyautalii wa ndani, kwa mfano mtu akuamua kwenda pale akiwa na vitambulisho maalumu vya safari yake hato hata mia ya kutalii, atajifunza mambo yite bure!
Wazo zurii
 
Katika Pita Pita yangu Kwenye Mitàndao Japo sio sana, Kwa kweli Jforum Inanipa raha Sana, Faraja, Elimu, Vyote napata Jforum. Mungu awabariki sana Ndugu Na Jamaa Mnaotoa Maoni Mbali mbali, halafu nimegundua Kuwa hata MTU anaekosea Hapa anafanya watu tufunguke zaidi, Kwa sababu Anakutana Na Vichwa Vilivyo fiti, na vyenye Udadisi, Mtoa Mada Nakushuku sana,
 
Katika Pita Pita yangu Kwenye Mitàndao Japo sio sana, Kwa kweli Jforum Inanipa raha Sana, Faraja, Elimu, Vyote napata Jforum. Mungu awabariki sana Ndugu Na Jamaa Mnaotoa Maoni Mbali mbali, halafu nimegundua Kuwa hata MTU anaekosea Hapa anafanya watu tufunguke zaidi, Kwa sababu Anakutana Na Vichwa Vilivyo fiti, na vyenye Udadisi, Mtoa Mada Nakushuku sana,
Tupo pamoja, tunazidi kujifunza mkuu.
 
Nakumbuka maeneo ya mikindani kule Mtwara kuna mashamba mengi sana ya chumvi
 
Chumvi hailimwi!!!

Mkuu :
Mleta mada yupo sahihi, ni kweli kwa mtazamo wa kawaida chumvi hailimwi, lakini kwenye msamiati chumvi hulimwa ni kawaida kusikia maneno kama ( Tank Farm-maeneo yanayo hifadhiwa mafuta ya petroli/dizeli kwa wingi au hata Animal/Bee Farm) hivyo ni sawa tu Mkuu. Usihofu.
 
Back
Top Bottom