Yajue maajabu ya chumvi katika utengenezaji wake

Drjacka92

JF-Expert Member
Jul 20, 2016
445
522
Salaam!!.

Kiukweli Chumvi ni bidhaa ambayo inatumika kwakiasi kikubwa karibu kila siku Katika vyakula vyetu binadamu.

Lakini watu wengi wanafahamu tofauti nauhalisia na jinsi inavyotengenezwa. Wengi wanajua eti kwamba chumvi inachimbwa ardhini kama yanavyochimbwa madini mengine lakini ukweli haupo hivyo.

Ajabu nikwamba Chumvi hutengenezwa kwakutumia Maji ya Bahari tu hayaongezwi kitu kingine chochote. Madini joto katika chumvi huwekwa kipindi ambacho chumvi imeshakamilika kutengenezwa.

Maji huvutwa kutoka baharini nakuanikwa Katika makalo maalumu yaliyoandaliwa, maji huwekwa Katika makalo hayo kwamuda usiopungua mwezi mmoja, nahiyo hufanyika msimu wa jua Kali, kadri maji yanavyopigwa na jua huongezeka kiasi chaukali wa chumvi Katika maji Yale ya bahari, (kitendo hicho huitwa kuongezeka Point Katika maji) hivyo kila siku maji hayo hupimwa kwakutumia Hydrometer, kadri point zinavyoongezeka Yale maji yanaganda nakuwa chumvi.

Chumvi huvunwa baada yakukomaa, nahapo hufuata zoezi lakuiosha chumvi. Chumvi huoshwa kwa maji makali yenye kiasi kikubwa cha point ya chumvi, ikioshewa maji mazuri yasiyo nachumvi huyeyuka kabisa.

Chumvi ya unga unaweza kuipata shambani kipindi chumvi haijakomaa nakuwa kama jiwe, lakini pia husagwa kiwandani baada ile ya mawe kutoka shambani.

Kilimo cha chumvi hutegemea sana Jua, kipindi cha mvua chumvi haizalishwi nahuwa adimu sana, kwawauzaji wa chumvi wanatambua uadimu wake kipindi cha mvua.

Hayo ni machache tu, kama unaswali lolote kuhusu Chumvi niulize, kama unataka ufanye biashara ya chumvi nitakueleza pia, au kama unataka uanzishe shamba la chumvi nitakupa maelekezo zaidi.

Kazi njema.
 
Si kweli kwamba chumvi inapatikana kwa maji ya Bahari tu.
Chumvi pia huchimbwa ardhini. Rejea machimbo ya chumvi Uvinza, Uvinza - Kigoma
Sio machimbo kama unavyofikiri wewe kwamba kama machimbo ya dhahabu nk. Angalia picha yahuko uvinza, nahayo ndio Makalo niliyoyaongelea, nakote inakozalishwa chumvi kunakuwa namuonekano huo.
1478105113299.jpg
 
Si kweli kwamba chumvi inapatikana kwa maji ya Bahari tu.
Chumvi pia huchimbwa ardhini. Rejea machimbo ya chumvi Uvinza, Uvinza - Kigoma
hata mimi nilitaka kuongezea hapo neno nakumbuka machimbo ya Uvinza
 
Wachambuzi wa siku hizi yaani huyu mmalaba anajua chumvi ya bahari tu, uvinza kuna visima vya maji chumvi na technologia za kuextract ziko nyingi sio majaluba tu.
Kuna thermo plant ilikuwa inatema chumvi balaa nyanza miaka ya 90 na ingine inapikwa majaluba hufaa baharini zaidi.
 
Wachambuzi wa siku hizi yaani huyu mmalaba anajua chumvi ya bahari tu, uvinza kuna visima vya maji chumvi na technologia za kuextract ziko nyingi sio majaluba tu.
Kuna thermo plant ilikuwa inatema chumvi balaa nyanza miaka ya 90 na ingine inapikwa majaluba hufaa baharini zaidi.
Point kubwa ni uajabu wa maji kuganda nakuwa chumvi, lengo ilikuwa kuwapa idea wasiojua kabisa namna chumvi inavyozalishwa.
 
Salaam!!.

Kiukweli Chumvi ni bidhaa ambayo inatumika kwakiasi kikubwa karibu kila siku Katika vyakula vyetu binadamu.

Lakini watu wengi wanafahamu tofauti nauhalisia na jinsi inavyotengenezwa. Wengi wanajua eti kwamba chumvi inachimbwa ardhini kama yanavyochimbwa madini mengine lakini ukweli haupo hivyo.

Ajabu nikwamba Chumvi hutengenezwa kwakutumia Maji ya Bahari tu hayaongezwi kitu kingine chochote. Madini joto katika chumvi huwekwa kipindi ambacho chumvi imeshakamilika kutengenezwa.

Maji huvutwa kutoka baharini nakuanikwa Katika makalo maalumu yaliyoandaliwa, maji huwekwa Katika makalo hayo kwamuda usiopungua mwezi mmoja, nahiyo hufanyika msimu wa jua Kali, kadri maji yanavyopigwa na jua huongezeka kiasi chaukali wa chumvi Katika maji Yale ya bahari, (kitendo hicho huitwa kuongezeka Point Katika maji) hivyo kila siku maji hayo hupimwa kwakutumia Hydrometer, kadri point zinavyoongezeka Yale maji yanaganda nakuwa chumvi.

Chumvi huvunwa baada yakukomaa, nahapo hufuata zoezi lakuiosha chumvi. Chumvi huoshwa kwa maji makali yenye kiasi kikubwa cha point ya chumvi, ikioshewa maji mazuri yasiyo nachumvi huyeyuka kabisa.

Chumvi ya unga unaweza kuipata shambani kipindi chumvi haijakomaa nakuwa kama jiwe, lakini pia husagwa kiwandani baada ile ya mawe kutoka shambani.

Kilimo cha chumvi hutegemea sana Jua, kipindi cha mvua chumvi haizalishwi nahuwa adimu sana, kwawauzaji wa chumvi wanatambua uadimu wake kipindi cha mvua.

Hayo ni machache tu, kama unaswali lolote kuhusu Chumvi niulize, kama unataka ufanye biashara ya chumvi nitakueleza pia, au kama unataka uanzishe shamba la chumvi nitakupa maelekezo zaidi.

Kazi njema.

Kwa kitaalam ulichoelezea ulilenga Salt extraction by evaporation method.

Si kweli kwamba maji bahari pekee ndio yanatoa chumvi bali maji yeyote yenye madini ya chumvi

Si kweli kwamba maji huganda na kuwa chumvi bali evaporation inapo-take place maji hupungua na concetretion ya chumvi huongezeka

Si kweli kwamba chumvi upatikanaji wake pekee unahitaji uwepo wa jua. unaweza kutumia other heating method japo ni gharama ukilinganisha na ya kitegemea jua tu. Kuna njia kibabo za extract chumvi kutoka kwenye maji kinachoangaliwa zaidi cost benefit
 
Salaam!!.

Kiukweli Chumvi ni bidhaa ambayo inatumika kwakiasi kikubwa karibu kila siku Katika vyakula vyetu binadamu.

Lakini watu wengi wanafahamu tofauti nauhalisia na jinsi inavyotengenezwa. Wengi wanajua eti kwamba chumvi inachimbwa ardhini kama yanavyochimbwa madini mengine lakini ukweli haupo hivyo.

Ajabu nikwamba Chumvi hutengenezwa kwakutumia Maji ya Bahari tu hayaongezwi kitu kingine chochote. Madini joto katika chumvi huwekwa kipindi ambacho chumvi imeshakamilika kutengenezwa.

Maji huvutwa kutoka baharini nakuanikwa Katika makalo maalumu yaliyoandaliwa, maji huwekwa Katika makalo hayo kwamuda usiopungua mwezi mmoja, nahiyo hufanyika msimu wa jua Kali, kadri maji yanavyopigwa na jua huongezeka kiasi chaukali wa chumvi Katika maji Yale ya bahari, (kitendo hicho huitwa kuongezeka Point Katika maji) hivyo kila siku maji hayo hupimwa kwakutumia Hydrometer, kadri point zinavyoongezeka Yale maji yanaganda nakuwa chumvi.

Chumvi huvunwa baada yakukomaa, nahapo hufuata zoezi lakuiosha chumvi. Chumvi huoshwa kwa maji makali yenye kiasi kikubwa cha point ya chumvi, ikioshewa maji mazuri yasiyo nachumvi huyeyuka kabisa.

Chumvi ya unga unaweza kuipata shambani kipindi chumvi haijakomaa nakuwa kama jiwe, lakini pia husagwa kiwandani baada ile ya mawe kutoka shambani.

Kilimo cha chumvi hutegemea sana Jua, kipindi cha mvua chumvi haizalishwi nahuwa adimu sana, kwawauzaji wa chumvi wanatambua uadimu wake kipindi cha mvua.

Hayo ni machache tu, kama unaswali lolote kuhusu Chumvi niulize, kama unataka ufanye biashara ya chumvi nitakueleza pia, au kama unataka uanzishe shamba la chumvi nitakupa maelekezo zaidi.

Kazi njema.
si kweli kuwa chumvi hupatikana kwa maji ya bahsri tu.kintinku,himboro na mvumi hakuna bahari lakini kuna chimbwa chumvi
 
Mtoa mada atakuwa ametokea Mtwara,Mtwara wanatengeneza sana chumvi kama alivyoelezea.Nilichokiona ameuza korosho(maana bei iko juu),akanunua smart phone,kisha akatuletea somo tujifunze.
 
Mtoa mada atakuwa ametokea Mtwara,Mtwara wanatengeneza sana chumvi kama alivyoelezea.Nilichokiona ameuza korosho(maana bei iko juu),akanunua smart phone,kisha akatuletea somo tujifunze.
Umezungumza vyema sana.
 
Kwa kitaalam ulichoelezea ulilenga Salt extraction by evaporation method.

Si kweli kwamba maji bahari pekee ndio yanatoa chumvi bali maji yeyote yenye madini ya chumvi

Si kweli kwamba maji huganda na kuwa chumvi bali evaporation inapo-take place maji hupungua na concetretion ya chumvi huongezeka

Si kweli kwamba chumvi upatikanaji wake pekee unahitaji uwepo wa jua. unaweza kutumia other heating method japo ni gharama ukilinganisha na ya kitegemea jua tu. Kuna njia kibabo za extract chumvi kutoka kwenye maji kinachoangaliwa zaidi cost benefit
Nashukuru kwakuniongezea uelewa, mchango wako nimzuri, umenijenga.
 
Edit post yako basi manake humu kuna watu wako deep kinouma nouma ukitoa somo weka dozi ya kutosha! ukoree bouya!
Wapo niliowafungua japo kidogo, wala sito edit chochote, nipo tayari kupewa michango yakuniongezea uelewa zaidi nawatakaoponda pia nitawachora tu.
 
Back
Top Bottom