wengi nimesoma nao walikua na gaden lavu,midevu,afro lakin nilikua nawaelewesha baada ya mwalimu kutoka,wangesema wenye nywele nyingi wana nyegemshindo ningeaminhii ndo science inafundishwa kwenye shule zetu. Bora sikusoma, hili la akili nyingi ni forktale
Hii tafiti haina ukweli hasa kwa maeneo mengi ya bongo.vumbi kwenye chumba chako especially chumbani ni mabaki ya ngozi yako ambayo inajibandua kila siku
3 bado namashaka nayo maana vichaa wengi wana nywele nyingi sana sasa hapa wao akili zime zidi au?AMNA BHANA WEWE ANGALIA WANASAYNSI WENGI WALIKUWAJE .....mfano mzuri ni bwana einstein
unadhani ni nywele gani zilizoongelewa hapo?Ni kweli kabisa