....Usilazimishe mambo wewe ndugu !........hakuna kashfa yeyote niliyoandika humu !.....wewe unakwepa hoja na tiba ya shida yako. Umegundua imani yako ina kasoro, ila unaogopa ushauri m'badala !
The Bible is the infallible Word. Jesus is the Word. Now answer my question: Who owns the Quran?...chenga ya mwili, kukwepa hoja ! ....Biblia ni ya Yesu, Paulo au Mungu !?
The Bible is the infallible Word. Jesus is the Word. Now answer my question: Who owns the Quran?
You are no longer my concern...!!!
Why are you scared, perplexed, petrified and flabbergasted? Answer my question: Who owns the Quran?Na Injil ni nini !?.....kitabu cha nani !?
Why are you scared, perplexed, petrified and flabbergasted? Answer my question: Who owns the Quran?
Sometimes silence is the best answer..!
The fact in issue is not jesus cant heal on the Tv or any similar device..
How about those transactions (mostly mpesa ,tigo pesa )which we are told to finance from the start to the end of the prayer...are they biblical?? .....
Mkuu usipate shida hata ilishaandikwa kuwa nyakati za mwisho watatokea manabii wa uongo na watakuwa na uwezo hata wa kuamrisha moto kushuka kutoka juu,ila tusiwafuate. Cha kufanya ni kuzipima hizo roho kama zinatoka kwa Mungu au la.
Swali,utajuaje? Wewe mwenyewe ukiwa mwombaji na kusoma neno vizuri huwezi kubabaishwa hata siku moja
However, Mbinguni hawataenda watu kwa sifa ya Unabii,utume,uaskofu,uchungaji,kwa kutoa sadaka nyingi au kwa kujiinua sana mbele za watu....BALI WENYE MOYO SAFI NDIO WATAKAOKWENDA.
mheshimiwa,kwani lazima ku-quote????unadhani maisha kila sehemu lazima tu-quote kama fani yako?kwanini huna heshima kwa sisi ambao maisha yetu sio lazima ku-quote unalazimisha lazima jamaa a-quote?naomba kuanzia sasa utambue uwepo wa watu wanaoweza kuishi na kujenga hoja zao bila ku-quote!
Joe1970 watu tunatofautiana kuna watu hawana uwezo wa kujenga hoja binafsi mpaka stake quotes na huo ndio msimamo wake na huwezi kumbadilisha! Uchambuzi na uchanganuzi wa chochote kwake hauwezi kukamilika bila nukuu fulani! Sasa nashindwa kuelewa umesoma ili upate maarifa binafsi au unasoma ili uwe mahiri wa kunakili vifungu?Pia hebu muulize watu(wayahudi)waliokuwa wakiishi wakati Yesu akiwa duniani wali-quote wapi maandiko!,akina matayo,marko,luka na yohana waliandika habari za Yesu baada ya Yesu kuondoka duniani.Ndiyo maana waliandika habari za Yesu wakitumia wakati uliopita(past events),Neno la Mungu(Biblia) linatakiwa likae ndani yetu na siyo kwenye makaratasi.Pia elewa kwamba utaratibu wa aya na vifungu haupo kwenye lugha ya kiarami,kiebrania wala kiyunani.Asanteni wapendwa,tujibu hoja bila jazba.
Haujajibu swali.(Mwenyezi Mungu) Amekuteremshia Kitabu (Qur'an) kwa haki kinachosadikisha yaliyo kuwa kabla yake. Na (Mwenyezi Mungu) aliteremsha Tourat na Injil
Qur'an: 2:3.
Vipi TanzaniaLaw !?
Kama mtu una danganywa na potassium permanganate na kuambiwa kuwa maji yameombewa mpaka yamegeuka damu wewe ni mjinga tu ! kama unakunywa Dodoma wine Altareni na kuambiwa ni damu ya Yesu wewe ni mjinga tu ! kama unapigia magoti sanamu ya Bikira Maria wewe ni mjinga tu ! kama ulikunywa kikombe cha Babu wa Loliondo/Samunge your a total fool!
Silim, Nyenyekea !
(Mwenyezi Mungu) Amekuteremshia Kitabu (Qur'an) kwa haki kinachosadikisha yaliyo kuwa kabla yake. Na (Mwenyezi Mungu) aliteremsha Tourat na Injil
Qur'an: 2:3.
Vipi TanzaniaLaw !?
Kwani unajua kwa nini masheh wako huwa wanatumia Quran kurogea watu na unajua kwa nini kuna sura ukichanganya na damu ya wanyama saba inakuwa hilizi ya chumaulete na mtume amekataza isifukiwe alidhini unajua sababu ndio mana nakwambia usikashifu wenzako hadi kwenu ni hivyo hivyo@Ally kombo
Kwako mshana jr na wenzako ! Mbona mpo kimya kwa habari ya ndoa za jinsi moja, nk katika makanisa yenu yaliyozeeka ...?