Tunakuuliza wewe utajibu vipi?.. au wataka hao Chadema wakujibu vipi.. frankly kama mimi ni kiongozi wa Chadema sintakuwa na jibu, ikiwa wewe hukupata jibu toka ktk katiba,sera, na ilani za chama - sijui unategemea jibu litoke wapi kujibu swali lisilojulikana..
Hapo mkandara i agree with you, huwezi kutekeleza mambo ya kwako binafsi kwa niaba ya taifa lazima yawe documented ili yeyote atakaepewa madaraka aweze kutekeleza na wananchi wampime ya aliyoyaeleza. CHADEMA wameeleza kila kitu kwenye Katiba, ilani ya uchaguzi na sera zao pia. kama kama hukubaliani nadhani unatakiwa kukosoa kwenye hizo documents zao. Then what??? zipelekwe kwenye hizo sera na zionyeshwe mapungufu yake ili Then what??? ipate majibu kwa kukosoa na kutoa ALTERNATIVES.