Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
- Thread starter
- #181
Kwa hiyo, Chadema wanatakiwa kuja na SABABU ambayo itajenga NIA ya wananchi kuungana nao kuiondoa CCM madarakani na sii swala la what next..Na hakika sababu yenyewe hakuna zaidi isipokuwa UFISADI.
duh!!! imenichukua karibu kurasa sabini kusema ulichosema wewe kwa mistari miwili. Kumbe uzee kweli hekima.