Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
unatamani usutwe eh? Vipi nimwage siri zako hapa kama alivyonisimulia phina,mpaka size ya kiatu chako,nasikia alikuwa akikohoa tu,hako......
Ndo umbea wenyewe huo sasa.
unatamani usutwe eh? Vipi nimwage siri zako hapa kama alivyonisimulia phina,mpaka size ya kiatu chako,nasikia alikuwa akikohoa tu,hako......
Babu unituwee,
nimekula nini chako?
Nimevaa nini chako?
Afu usinipandishe mashetani yangu ujue.
Wewe ndo ulikuwa nambari one kutaka kunivunjia ndoa yangu na mume wangu.
Eti ooh... Chimbuvu hana hela.
Kwani unatembea na Acc yake?
Mara ooh... Chimbuvu mtoto,
una kadi lake la kliniki au ushawahi kumkuta kavaa Pampers!
Unituwe wewe Baba V,
Hapa stori tu,kula kwenu.
Zinduna na madame B , mjiangalie na popo bawa wangu anauchupa ile mbaya nitamfungulia aje awape mnacho hitaji
Zinduna na madame B , mjiangalie na popo bawa wangu anauchupa ile mbaya nitamfungulia aje awape mnacho hitaji
Hayo maneno hata kwenye kanga yapo.
Kwi kwi kwi...
madame B , naomba na mie mh!
Ulikuja kwa upole sasa umeamua kutukana watu.. Shika adabu yako.
Ulikuja kwa upole sasa umeamua kutukana watu.. Shika adabu yako.
Wana Chit Chat
Nawasalimu, habari za kutwa.
Kutokana na maombi ya wana chiti chat wengi kuomba ngoma ya msuto ya MKODOBWE, nimeona ni vyema sasa ngoma hiyo ikarasimishwa hapa chit chat ili kupunguza majungu na umbea kwa baadhi ya watu humu jukwaani.
Jamani kuna mijanadume mimbea kha! Hata sijui wamelishwa kitu gani sijui.
Sasa basi, hapa chini ifuatayo ni timu nzima ya msuto ya MKODOBWE:
Kungwi: Madame B
Manju: cacico
Mpiga zumari: snowhite
Mpiga kigoma cha Kilugwai: Kipipi
Mpiga Mbeta: charminglady
Mpiga nyanga: Ciello
Mpiga chapuo: lara 1
Mpiga filimbi: Preta
Wa kuchagiza: sweetlady
Kwa upande wa vigelegele watakuwepo hawa wafuatao: Asnam, Nyamayao, gfsonwin, @FP, Remmy, Smile, marejesho, MadameX, FirstLady 1 na shogangu Lisa
Natoa tahadhari kwa hawa wafuatao maana mienendo yao sio mizuri hapa Chit chat kwa kuchapa umbea na wajiangalie goma la MKODOBWE lisije kuwaangukia
Yo Yo, manoah, platozoom, na Baba V
Nicas Mtei atakuwa kwenye kitengo cha usafiri akishirikiana na @C6
Sitaki Maswali
ALAMSIKI.
Wana Chit Chat
Nawasalimu, habari za kutwa.
Kutokana na maombi ya wana chiti chat wengi kuomba ngoma ya msuto ya MKODOBWE, nimeona ni vyema sasa ngoma hiyo ikarasimishwa hapa chit chat ili kupunguza majungu na umbea kwa baadhi ya watu humu jukwaani.
Jamani kuna mijanadume mimbea kha! Hata sijui wamelishwa kitu gani sijui.
Sasa basi, hapa chini ifuatayo ni timu nzima ya msuto ya MKODOBWE:
Kungwi: Madame B
Manju: cacico
Mpiga zumari: snowhite
Mpiga kigoma cha Kilugwai: Kipipi
Mpiga Mbeta: charminglady
Mpiga nyanga: Ciello
Mpiga chapuo: lara 1
Mpiga filimbi: Preta
Wa kuchagiza: sweetlady
Kwa upande wa vigelegele watakuwepo hawa wafuatao: Asnam, Nyamayao, gfsonwin, @FP, Remmy, Smile, marejesho, MadameX, FirstLady 1 na shogangu Lisa
Natoa tahadhari kwa hawa wafuatao maana mienendo yao sio mizuri hapa Chit chat kwa kuchapa umbea na wajiangalie goma la MKODOBWE lisije kuwaangukia
Yo Yo, manoah, platozoom, na Baba V
Nicas Mtei atakuwa kwenye kitengo cha usafiri akishirikiana na @C6
Sitaki Maswali
ALAMSIKI.
Kwani hyo mishkaki anaichoma mpaka kitandani?
Unituwe we muhaya.
Na mdogo wako nimemuacha,sasa fanya lolote,
kwani nyie ukoo wenu hamjui kuachwa ee!!!
Na bado.
umesahau kusema sare
either tukatafute madira
au vitambaa vya mpira kwa kisukuna
charminglady,hawara yako hajambo? Nasikia jana alisahau kuja na ndom,sasa ilikuwaje?Shoga umejuaje????????? yan kuna janaume humu nina hamu nalo ka nini.... goma likianza naomba tu tumuanzie yeye, mwanaume mmbea sijapata kuona sijui karithi kha!!!!!!!!!!!!!!!!