Yaani Watanganyika tuwaombee viongozi wanaofisadi na kuuza bandari za Tanganyika! Haya ni majaribu

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Jul 21, 2021
1,126
4,169
Tuwaombee ili wazidi kuiba na kuuza rasilimali za Tanganyika?
20230813_131602.jpg
 
Maombi yasiyotanguliwa na TOBA hugeuka LAANA,

Betina aliwaambia wachawi wawaroge wanaopinga bandari kuuzwa, hajatubu, anaenda Kanisani pia aombewe,

Anatafuta kupata na jambo baya Kwa ghafula!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom