Kiboko ya Haji Manara Tanzania nzima ni Jamhuri Kihwelo akifuatiwa na DC Jerry Muro na bahati nzuri hata Manara Mwenyewe anamuogopa Kihwelo kwani anamjua kuwa ni Mzungumzaji mzuri, anajua Kuchamba, Kukera halafu ni Mtoto wa Mjini vile vile na Soka si tu kuwa analijua bali amelicheza na Kulifundisha pia.